Outsiders
Member
- Apr 22, 2024
- 26
- 33
Mfumo wa anwani za makazi umekua changamoto kwenye kufanya application za HESLB, changamoto tunayokutana nayo nikama ifuatavyoo;
1. Mfumo unataka taarifa za mmiliki wa eneo(Nyumba) husika,, hii imekua kikwanza kwa wazazi wanaoishi kwenye nyumba za kupanga.
2. Watendaji wa Kata hawapo oriented na mfumo huu,, hii imekua kikwazo kwa watendaji, maana wengi wao hawajapatiwa Semina wala warsha kuhusu mfumo huu.
3. Hata nyumba zilizowekewa namba za anwani,, namba hizo haziko active kwenye mfumo.
4. Baadhi ya namba za simu zipo kwenye mfumo wa NaPA zinasoma anwani za watu tofauti na wao,, hata majina ukiomba barua yanakuja ya mtu mwingine.
** Tunaomba changamoto hizi zifanyiwe kazi,, zinatukwamisha kuendelea na uombaji wa Mikopo ya elimu ya juu,, ikiwezekana Postcode zitumike badala ya NaPA.
1. Mfumo unataka taarifa za mmiliki wa eneo(Nyumba) husika,, hii imekua kikwanza kwa wazazi wanaoishi kwenye nyumba za kupanga.
2. Watendaji wa Kata hawapo oriented na mfumo huu,, hii imekua kikwazo kwa watendaji, maana wengi wao hawajapatiwa Semina wala warsha kuhusu mfumo huu.
3. Hata nyumba zilizowekewa namba za anwani,, namba hizo haziko active kwenye mfumo.
4. Baadhi ya namba za simu zipo kwenye mfumo wa NaPA zinasoma anwani za watu tofauti na wao,, hata majina ukiomba barua yanakuja ya mtu mwingine.
** Tunaomba changamoto hizi zifanyiwe kazi,, zinatukwamisha kuendelea na uombaji wa Mikopo ya elimu ya juu,, ikiwezekana Postcode zitumike badala ya NaPA.