Poleni na kazi jamani, nilikua nachangamoto kwenye umeme wa solar nina solar panel Wat 100, betri N 80 la unga, Inverter 200 W na charge contro changamoto iliyopo hivi vitu vilipo fungwa vilikua vinafanya kazi vizuri na ilikua kipindi cha masika nashangaa kipindi hiki cha kiangazi betr inawah...
Wakuu kwema, wajuzi wa mambo ya umeme msaada tafadhali. Kimsingi nyumba ninayoishi haijafikiwa na umeme wa tanesco na sababu ni mtaa ninaoishi umepitiwa na mradi wa Rea na mimi sikuwa mnufaika kwakuwa nilichelewa kuhamia hivyo nimeambiwa nisubiri miezi 18 tangu tarehe ya kukabidhiwa kwa mradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.