Changamoto nayopitia bank ya FNB

Hatuwakatazi kuwa wajuaji lkn mnapopigwa mnakuja kwetu washamba kutafuta huruma maana yake nini?? Punguza ujuaji wakati hujui
Nilishawahi kukufata kutaka Huruma yako?

Local banks huduma ni mbovu mbona hutaki kukubali.

NMW wameanzisha card yao ile ya Prepaid, ni mataputapu matupu. Sijawahi pata shida Equity na KCB.

KCB nikipataga shida simu za wahudumu zinafululiza mpaka wanamake sure wamenitatulia tatizo langu. Wanajali.

Siyo hizi bank uchwara.
 
Siku ukitumia Barclays kwa sasa ABSA utagundua hivyo vi bank vyenu vya kizalendo vina uswahili mwingi sana.
Uko sahihi mkuu,mfano saizi kuna shida ya Dollars sana,NMB wanakupa mwisho Dollars elf moja tu hata kama una account,ila jana nimeenda ABSA tawi lipo pale City Mall japo Sina account wamenipa elf 2,nimeenda siku 3 nimepata elf 6😂 bila shida........nawaza kuwa na account huko .....
 
Huwa najiuliza benki zooooooote za Kizalendo zilizopo mtu anapata wapi ujasiri wa kuweka pesa zake KCB, BOA, FnB nk nk anyway Mkuu ukiamua kununua Gari la Mzungu tegemea kulia kama hivvi acha sie tuendelee na NMB/TOYOTA zetu
Nmb ,crdb ndio za pekee tu
 
NMB CRDB NBC hizi ndiyo bank za TANZANIA za uhakika na salama muda wote... Tatizo lenu WaTz mnapenda sana vya bure mnataka muweke pesa bank isikatwe hata shilingi mia, sasa bank itajiendeshaje kama sio kufa na kudhulumu wateja...
Lkn CRDB hapana
 
Ushauri mzuri sana
 
Huwa najiuliza benki zooooooote za Kizalendo zilizopo mtu anapata wapi ujasiri wa kuweka pesa zake KCB, BOA, FnB nk nk anyway Mkuu ukiamua kununua Gari la Mzungu tegemea kulia kama hivvi acha sie tuendelee na NMB/TOYOTA zetu
Nmb ,crdb tu ila zingine za kisalendo ninjinga mtupu Eti mwanga community ,Mara kcccbl Mara njombe community hao hawna mitaji ya kufanya Kaz Ni full matezo

Standard ,stanbik na kcb , equity nazo uhakika
 
Bank bora kwasababu ya huduma.. nazunguka sana na ndio bank nayotumia
unazunguka dsm, mwanza, dodoma na nje ya nchi nini? Hufiki wilayani, btw hata baadhi ya makao makuu ya mikoa hayana bank hii, kigoma mmojawapo, Mimi pia mteja wa absa since barclays days, lakini ukosefu wa mtandao wa matawi ni big weakness. Hao na kina Equity, Eco bank etc ni bank za mijini tu
 
Hii ni last option mkuu,maana ukienda huko bank inapigwa faini kubwa sana
 
Kwangu bank bora ni ABSA.. nimeanza tumia pia tangu ikiwa barclays.. hilo la wao kutokuwa na branch sio issue. Ila mda wowote nao taka hela napata
 
NMB CRDB NBC hizi ndiyo bank za TANZANIA za uhakika na salama muda wote... Tatizo lenu WaTz mnapenda sana vya bure mnataka muweke pesa bank isikatwe hata shilingi mia, sasa bank itajiendeshaje kama sio kufa na kudhulumu wateja...
Kuna TCB pia ni ya serikali haifilisiki ile.
 
Kiukweli ingenitokea mm ni either ningekuwa ngome au ingekua habari mtaani,haiwezekan pesa ikawa yangu halafu mnanizingua
 
Na tunavyoongea hapa Kampuni imeshauzwa(imeuzwa kwa nani story nyingine) hata baadhi ya wafanyakazi waliachishwa mapema kuanzia January to March.
Njia pekee kutana na meneja ongea nae after there baba wao BOT anahusika kusimamia haki za wateja but visit FNB manager don't roam around with Brunch managers /customer care you cannot have enough information related to your problem by accessing hao subordinates.
 
Barclays Stanbic FNB ni vikoba vilivyochangamka
Vicoma ni hizo local bank.

Nakupa rule of thumb.

Ukishaona bank ukitaka kutoa pesa nyingi maswali yanakuwa mengi Hiyo bank uchwara aka kikoba kimbia haraka sana.
 
Mbona FNB wameshafunga operations zao Tanzania?

Au wanafanya illegally?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…