Changamoto nayopitia bank ya FNB

Changamoto nayopitia bank ya FNB

NMB CRDB NBC hizi ndiyo bank za TANZANIA za uhakika na salama muda wote... Tatizo lenu WaTz mnapenda sana vya bure mnataka muweke pesa bank isikatwe hata shilingi mia, sasa bank itajiendeshaje kama sio kufa na kudhulumu wateja...
Hamuanishawishi aisee hela zangu naweka Banc ABC hakuna makato,makato ni kwenye kufanya miamala tu.

Changamoto
*Matawi machache Dar yapo matatu tu
*Usumbufu kwenye ATM wawezakuta mashine ipo out of service hapo shida inakuja kulitafuta tawi lingine
*Mawakala wachache
*Menu yao ya mobili money haifanyi kazi.
 
Hamuanishawishi aisee hela zangu naweka Banc ABC hakuna makato,makato ni kwenye kufanya miamala tu.

Changamoto
*Matawi machache Dar yapo matatu tu
*Usumbufu kwenye ATM wawezakuta mashine ipo out of service hapo shida inakuja kulitafuta tawi lingine
*Mawakala wachache
*Menu yao ya mobili money haifanyi kazi.
Kwa nin uteseke na pesa Yako.
Muda na gharama za kutafuta huduma c Bora ufungue account bank za ndani.
 
NMB CRDB NBC hizi ndiyo bank za TANZANIA za uhakika na salama muda wote... Tatizo lenu WaTz mnapenda sana vya bure mnataka muweke pesa bank isikatwe hata shilingi mia, sasa bank itajiendeshaje kama sio kufa na kudhulumu wateja...
+Posta
 
Siku ukitumia Barclays kwa sasa ABSA utagundua hivyo vi bank vyenu vya kizalendo vina uswahili mwingi sana.
Watu wanaongea tu, bank kama ABSA kwangu ni bank bora kuliko bank zote za ndani ( local ), huduma za jamaa faster sana hadi unafurahi, kwa sie wafanya online transaction na internet bank ndio mwake
 
Hamuanishawishi aisee hela zangu naweka Banc ABC hakuna makato,makato ni kwenye kufanya miamala tu.

Changamoto
*Matawi machache Dar yapo matatu tu
*Usumbufu kwenye ATM wawezakuta mashine ipo out of service hapo shida inakuja kulitafuta tawi lingine
*Mawakala wachache
*Menu yao ya mobili money haifanyi kazi.
😅😂 Ila WaTz bhaana thinking capacity ipo chini sana (samahan). Kwahio hapo hujagundua kwanin hawana makato..? Ume calculate gharama za muda wako na gharama za usafiri kutafuta huduma ya hiyo bank..?
 
Kwanza pole. FNB bank walikua acquired na Exim bank, mwaka 2022 mwezi july..so all assets and liabilities (customer deposits) za fnb zilihamishiwa Exim bank.

Therefore that being a case all complains regarding your fnb account zinatakiwa kua handled na Exim bank..so endapo jitahada zitagonga mwamba Basi nenda BOT dawati/section ya customer compliant watashughulikia issue yako immediately.

(kumbuka BOT walitoa regulation inayohusina na consumer protection kwa wateja wa mabenki..na kuweka timelines(SLA ya kila tatizo na duration ya kutatuliwa such that hiyo duration ikizidi basi mteja a lodge complain yake BOT.
Ahsante
 
Hamuanishawishi aisee hela zangu naweka Banc ABC hakuna makato,makato ni kwenye kufanya miamala tu.

Changamoto
*Matawi machache Dar yapo matatu tu
*Usumbufu kwenye ATM wawezakuta mashine ipo out of service hapo shida inakuja kulitafuta tawi lingine
*Mawakala wachache
*Menu yao ya mobili money haifanyi kazi.
Nalijua tawi moja tu la Mtaa wa Msimbazi Kariakoo
 
Back
Top Bottom