Changamoto nayopitia bank ya FNB

[emoji28][emoji23] Ila WaTz bhaana thinking capacity ipo chini sana (samahan). Kwahio hapo hujagundua kwanin hawana makato..? Ume calculate gharama za muda wako na gharama za usafiri kutafuta huduma ya hiyo bank..?
Usafiri upi? Kama natembea kwa miguu je? Huko kwingine hakuna changamoto?
 
Mwenzio naugulia maumivu Arusha! Wamefunga wamesepa!!
 
Huwa najiuliza benki zooooooote za Kizalendo zilizopo mtu anapata wapi ujasiri wa kuweka pesa zake KCB, BOA, FnB nk nk anyway Mkuu ukiamua kununua Gari la Mzungu tegemea kulia kama hivvi acha sie tuendelee na NMB/TOYOTA zetu
Uzalendo wa nyoko,

Nna account KCB na kabla ya hapo nilikuwa Equity.

Na ntaongeza account nyingine bancABC...

Benki za Bongo ni usenge tu.

Unafanya POS na bank za kibongo unapigwa exchange kubwa kama vile wewe siyo mtanzania. Yaani kufanya POS tunaona kama ni anasa. *****.

Sisi wabongo tunachojua ni umbea tu.

Haya mambo mengine tuwaachie watu walio serious.
 
We na wewe bank gani hiyo ulienda kufungua account. Jamani muwe munaomba ushauri hata humu ndani.

Mimi nimeshatumia NBC, CRDB, na NMB kwa bank za local.

Ila mpaka sasa nmebaki na NMB tu naona ntaachana nao any time.

Bank za Kigeni nyingi wanajielewa.
 
Watu wanaongea tu, bank kama ABSA kwangu ni bank bora kuliko bank zote za ndani ( local ), huduma za jamaa faster sana hadi unafurahi, kwa sie wafanya online transaction na internet bank ndio mwake
BOra kwa sababu ina wateja wachache? Ukienda Bukombe ama Nkasi utaipata? Inakufaa wewe kwa sababu huenda ni mfanyakazi na tena uko stationary eneo moja la mjini tu ilipo
 
NMB CRDB NBC hizi ndiyo bank za TANZANIA za uhakika na salama muda wote... Tatizo lenu WaTz mnapenda sana vya bure mnataka muweke pesa bank isikatwe hata shilingi mia, sasa bank itajiendeshaje kama sio kufa na kudhulumu wateja...
Hizi bank za watu maskini ambao mentality yao ni kutunza tu pesa bank. Ila kuna vitu vingi sana bado wanafeli.

Uhamishiwe pesa kwa TT toka nchi nyingingine kuja kwenye hizo bank hamna milio utaacha kulia.
 
Kuna watu Huwa mnanishangaza Kwa kweli!! Eti FNB!! Barclay!?boa!?hivi Huwa mna waza nn!? Hivi kwenu singida ukienda utakuta tawi la FNB!??
Mimi kwa ishu zangu hizo local bank hazifai hata bure.

Niliona at the end if the day nitakuja kupuga muhudumu mmoja wa bank halafu nilale ndani, so niliamua kuaachana nao.
 
Me natumia KCB the only downsides are

1. Sijaonaga mawakala wao japo hapa mjini matawi yapo yapo. Uhuru, Lumumba, Samora, Msasani, Buguruni, Mlimani city na Mbagala, Pia wana ATM msimbazi. Kwa mikoani wana Branch Moro, moshi na Zanzibar.

2. Downside ya pili ni Card yao ya Visa siyo 3D secured, Hivyo inanibana kufanya POS kwenye baadhi ya sites. Sijajua kama wana aina nyingine ya Card ambayo ni 3d secured.

The rest wapo Okay.

Niliendaga BancABC uhuru Heights kufungua account, wakaniambia nilete barua ya utambulisho nikaona uchawi.

Ila nasikia ni bank nzuri.
 

Boss Kuna benki ya NMB, CRDB na NBC
Na kwa jambo kama lako, Mbona BONUS ACCOUNT ya NMB ingetosha?

#YNWA
 
Barclay ,Stanbic and the like ni uchafu tuuu!!? Eti benk Ina tawi Samora avenue tuu!! Na masaki!! Sasa ukiwa iramba masharika inakuwaje!?acha ulimbukeni aisee
Hayo ya kuwa Iramba mashariki ni matatizo yako.

Ila hizo bank hakuna takataka ya Local inazifikia.
 
Hatuwakatazi kuwa wajuaji lkn mnapopigwa mnakuja kwetu washamba kutafuta huruma maana yake nini?? Punguza ujuaji wakati hujui
 
Hata mm psssf wananitesa na pesa zangu mwenywe ushenzi Sana


By the way gorofani lako liko wali sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…