Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,411
- Thread starter
- #21
Sijaja kutafuta FIGURE nimekuja kutafuta THE WORLDS OF ADVICE..!!!Nadhani inbox yako imejaa waomba maombi wanaohitaji kuolewa.
Kuwa makini jiepusha na wapenzi ombaomba wanawake wengi kwa sasa akili zao zipo anticlockwise hazieleweki.
Wanaotaka ndoa ni wengi lakini wanaojua ndoa ni wachache.
Unafeli kutokana na jinsi ulivyojiweka mwenyewe unapenda matawi marefu sana na mazingira unayoshinda yanakuponza.