Ushauri... ""Mumeo alikupataje ukamfaa hivyo?"'Unataka ushauri tu au na mke jf?
Nipo JF tokea 2012... Hii ni account ya 6..!!!Mweh
, Ni siri?
Mimi sina mume nataka nichangamkie fursa kwakoUshauri... ""Mumeo alikupataje ukamfaa hivyo?"'
HayaNipo JF tokea 2012... Hii ni account ya 6..!!!
Nayo sijui kama itamaliza MWAKA..!!!
nimeshindwa kuelewa kwanini amekazana kutaja makabila ya hao mabintiHesabu makabila ambayo bado umalizie kwanza
niambie cheusiHesabu makabila ambayo bado umalizie kwanza
niambie cheusi
na nini tena?Mnahangaika
Tuseme kwamba na wewe ni HIV +? Ili wanapokuja wajueMimi ni mwana JF wa siku nyingi japo niliacha kutumia JF na KUDELETE ACCOUNT 2016.
Na 2018 nilirudi kwa staili ya kusoma habari za JF kwa "KUFOLLOW LINK" kutoka FB (bila Ku log in MAANA SIKUA NA ACCOUNT TENA)...