Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Salaam,
Ama baada ya salamu mimi ni mzima wa siha muruwa kabisa. Hofu na mashaka ni kwako wewe keyboard worrier uliye mbali na upeo wa macho yangu.
Wahenga walisema kwenye riziki hapakosekaniki vimbwanga, vituko, mauzauza, chuki, uhasama, uadui, unafiki, urozi na mwisho wa yote hayo mkono huenda kinywani.
Kila kazi ina ugumu wake na ugomu na changamoto umetofautiana kati ya mtu na mtu na kazi na kazi.
Nakumbuka rais Magufuli alipata kusema kwamba yuko busy sana kiasi kwamba kitandani kwake yametapakaa mafaili mbalimbali yakimsubiri ayafanyie kazi.
Hadi anafariki kaacha kazi nyingi hazijaisha.
Je, wewe changamoto gani zipo kazini kwako?
Ama baada ya salamu mimi ni mzima wa siha muruwa kabisa. Hofu na mashaka ni kwako wewe keyboard worrier uliye mbali na upeo wa macho yangu.
Wahenga walisema kwenye riziki hapakosekaniki vimbwanga, vituko, mauzauza, chuki, uhasama, uadui, unafiki, urozi na mwisho wa yote hayo mkono huenda kinywani.
Kila kazi ina ugumu wake na ugomu na changamoto umetofautiana kati ya mtu na mtu na kazi na kazi.
Nakumbuka rais Magufuli alipata kusema kwamba yuko busy sana kiasi kwamba kitandani kwake yametapakaa mafaili mbalimbali yakimsubiri ayafanyie kazi.
Hadi anafariki kaacha kazi nyingi hazijaisha.
Je, wewe changamoto gani zipo kazini kwako?