Petiro
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 309
- 45
Katika ziara hiyo ya siku moja amepangiwa kukutana na Rais Kibaki na PM Odinga.wanatarajiwa kuzungumzia mradi wa ujenzi wa
Bandari mpya ya Lamu, Ujenzi wa reli toka Lamu-South Ethiopia to South Sudan na ujenzi wa bomba la mafuta toka South Sudan to Lamu
Imedokezwa miradi hiyo mitatu itapata ufadhili toka Ujerumani na itauimarisha UCHUMI wa Kenya.
JE PRESIDAA WETU ANAJIFUNZA NINI TOKA KWA MAJIRANI ZETU KENYA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Bandari mpya ya Lamu, Ujenzi wa reli toka Lamu-South Ethiopia to South Sudan na ujenzi wa bomba la mafuta toka South Sudan to Lamu
Imedokezwa miradi hiyo mitatu itapata ufadhili toka Ujerumani na itauimarisha UCHUMI wa Kenya.
JE PRESIDAA WETU ANAJIFUNZA NINI TOKA KWA MAJIRANI ZETU KENYA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!