Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,138
- 128,774
Angalau leo ni raha kamili.
Kipenga hicho pee...
Tumeshinda!.
Mungu ameibariki Tanzania.
Amen.
Kipenga hicho pee...
Tumeshinda!.
Mungu ameibariki Tanzania.
Amen.
Pole mkuu,upumbavu huu........... ndo maana hatutaweza cheza ulaya namna hiiiiiii. refa mpuuzi
Dah,
Walau nimefurahiiii. Hata wife naona hakulala mpaka aone final results. Full uzalendo
Mpira umekwisha lkn duuh tumecheza chini ya kiwango haswa dk.za mwisho... Cha muhimu ni kujiandaa kwa Team ya Zambia...
Nawatakia heri, viongozi wa TFF na wachezaji wote wa timu ya Taifa mwaka 2009 uwe wa mafanikio.
Nawatakia heri, viongozi wa FAT na wachezaji wote wa timu ya Taifa mwaka 72 uwe wa mafanikio. Kibaden oyeee oyeee kwa uchezaji bora kitwana oyeoyee. Wachezaji wote wa enzi hizo walitajwa katika wimbo huu. Nadhani baadhi yenu mtaukumbuka huu wimbo ulikuwa maarufu sana mwaka 72. Kuna haja ya kutunga mwingine kwa wachezaji wa sasa