Tatizo la ajali hapa kwetu ni madereva. Hawa jamaa wanadharau hii kazi kiasi kwamba hawawezi kukaa darasani angalau hata mwezi mmoja wakapate elimu ya nidhamu ya barabarani.
Wangekuwa wanapitia VETA angalau ajali zisingekuwa nyingi.
Mfano mzuri ni madereva wanaotokea nchi za jirani kuja kwetu, mbona hawapati ajali?
Udereva jamani ni taaluma na ustadi, vyote hivyo vinapatikana VETA.