Ntozi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 226
- 299
Bei juu ya mafuta na bidhaa zingine nchini,na kupanda Kwa gharama ya maisha Kwa ujumla,ni anguko litarajiwalo Kwa chama tawala na serikali yake.
Haiwezekani lawama zitokanazo na ugumu wa maisha zitamalaki kila mahali katika jamii,na bado ukashinda uchaguzi wa kisiasa kihalali.Haiwezekani.
Zambia ilianza kama hivi,na baada ya hapo,kilichobaki ni historia. Huwezi kupanda mchicha halafu uvune mahindi!
Haiwezekani lawama zitokanazo na ugumu wa maisha zitamalaki kila mahali katika jamii,na bado ukashinda uchaguzi wa kisiasa kihalali.Haiwezekani.
Zambia ilianza kama hivi,na baada ya hapo,kilichobaki ni historia. Huwezi kupanda mchicha halafu uvune mahindi!