We jamaa vp. Ulikua unaleta hoja au umeleta kubishana?Kuna wakati kama kweli tunazipenda timu zetu inabidi tuwaambie ukweli. Simba hii timu waliidharau na wamejiamini kupita kiasi. Wanaingia uwanjani kwa kucheza na historia
Waamke wachukulie mambo seriously
Hiyo ndio hoja yangu mkuu lakini wanasimba wenzangu wamegoma kabisa kuliona hiloSimba asipofungulia nguvu zote anatolewa.Hata mamelody ya south nayo hivo hivo,tena wao walipigwa 2-1
Hata hao Yanga lazima washinde ndio wafuzu ila kwa Simba kuna backup ya Penati ikiwa Yanga wao wanakabiliwa na ushindi wa goli mojaLakini angalau akitoka sare ya 2-2 anafuzu, Simba hakuna hiyo option lazina ashinde akitaka kusonga
Yanga wakitoa sare ya bao 2-2 au zaidi wanafuzu mkuu kwa faida ya goli la ugeniniHata hao Yanga lazima washinde ndio wafuzu ila kwa Simba kuna backup ya Penati ikiwa Yanga wao wanakabiliwa na ushindi wa goli moja
Mkuu Wala hujakosea kwa Fraga Nadhani mkude atumike kwenye mechi Za ligi ya Nyumbani zaidi na kule Za kimataifa asaidie saidie hasa Za home pia Tairone ana nguvu Sana anaweza pambana man-man na strikers wajanja wajanja wa CACLKwa maoni yangu Fraga azoeshwe hapo, atatusaidia sana huko mbeleni tukikutana na wajuvi zaidi kina Esperance.Halafu Tairone baadae aanze kupatna na Nyoni.Huyu Beki Mbrazili Tairone tunamuhitaji sana aondoe matatizo Mwaka Jana.Na Uzuri wote Nyoni na Tairone wanaweza Holding midfielder hivyo watakuwa wanampa Back up Fraga timu ikiwa INA mpira.
Unajiabisha, sare ya 1-1 Taifa inampa advantage gani Yanga wakat alikuwa mwenyeji mzee?Ni kweli kabisa kwa maneno mengine ile sare ya hapa Taifa ni advantage kwa Yanga wakati Simba tuna mtihani mkubwa
Simba wana option zaidi ya ushindi mkuu? Yanga wao wanawza wakatoka sare wakafuzu, au hesabu za goli la ugenini zinakupiga chenga?Unajiabisha, sare ya 1-1 Taifa inampa advantage gani Yanga wakat alikuwa mwenyeji mzee?
Acha uzwazwa wwYanga wakikaza ugenini wakatoka suluhu ya kutofungana wanafuzu kwa raundi inayofuata
Ina maana hujanielewa???kusema Tunaweza kuifunga Barcelona ni alama Ya Mentality ya Ushindi iliyoko Simba!!Ukiwa na Wanasimba ukawaambia Tunaweza kuifunga Barcelona wanakupa tano, ukisema hivi Jangwani wanaweza kukukimbiza kama MTU aliyegundulika anaenda kuchomoa betri!!!Bado tu hujaelewa??
Bora umewaambia,kumbe si wite mbumbumbu kuna wanaofikiri Vizuri, game iko open sana maana wale wanakuja kujilipua tu hawana chakupotezaNimekaa mara fikra za woga zimenijia. Nahofia timu yangu Lunyasi wa Msimbazi kuaga mapema kwenye michuano ya CCL. Naomba iwe ni ndoto tu
Kumbuka kwenye mchezo wao wa kwanza wa raundi ya kwanza walitoka sare ya bila kufungana AS SONGO ya Msumbiji
Ndugu zangu sare ya bilakufungana ugenini ni hatari sana. Unatembea kwenye uzi mwembaamba sana baina ya kusongambele na kutupwa nje ya mashindano.
Hapo hakuna alternative kwa Simba zaidi ya ushindi. Afadhali ile sare waliotoka watani zetu wa Jangwani na Township Rollers, sare ya bao moja kwa moja. Kama Yanga wakikaza ugenini wakatoka angalau sare ya bao mbili kwa mbili au zaidi wanafuzu kwa raundi inayofuata
Msimbazi akitoa sare ya magoli ya aina yoyote anaaga mashindano, suluhu ya bilabila ni changamoto ya mikwaju ya penati ambayo sikuzote haina mwenyewe!
Tuliidharau timu hii ya Mozambique lakini siku zote Msumbiji hua inatusumbua sana iwe kwa ngazi ya vilabu na hata timu ya Taifa. Wana style yao ya kufunga goli dakika tano za mwanzo na likang'ang'ania hadi mpira unaisha
Natoa wito kwa viongozi na hasa benchi la ufundi wasiwachukulie poa hawa jamaa
Waache kabisa tabia yao ya kufanya majaribio ya wachezaji na aina ya uchezaji, tabia ambayo kocha wetu Patric anayo sana. Waweke kikosi cha kazi isitukute aibu tukakosa pa kuweka sura zetu
Sisi mashabiki panapo majaaliwa tutakuwepo uwanja wa Taifa kutoa sapoti inayohitajika kama kawaida yetu
SIMBA NGUVU MOJA
That is my argument mkuu nashangaa Lunyasi wenzangu wakanishukia kama mweweBora umewaambia,kumbe si wite mbumbumbu kuna wanaofikiri Vizuri, game iko open sana maana wale wanakuja kujilipua tu hawana chakupoteza
Kitu ambacho bado hujaelewa ni kwamba Simba hatuhitaji kuweka hisia za Uoga mbele kama Vyura, Hisia za mashabiki wa Simba ktk hatari ni kama hisia za Mmasai anapokutana na mnyama Simba porini,hisia za mashabiki wa Yanga ni kama Mzaramo anapokutana na mnyama Simba!Hapa mzaramo atawaza kufa tu na kukimbia!!That is my argument mkuu nashangaa Lunyasi wenzangu wakanishukia kama mwewe
Jambo jingine la kuhofia ni mentality ya kudhani Simba inauwezo wa kushinda mechi zote U/Taifa na hivyo kujijengea over confidence ambayo ni hatari hasa unapocheza na timu inayoona haina cha kupoteza
Mwambie aliyekusimulia amekudanganya, hayo sio matokeo ya Santos Vs Simba! Nyau jike weeeM
Mwaka 2003 Simba ilipocheza hatua ya makundi kwa mara ya kwanza CCL alikua ametoka kukutana na mazingira kama hayo kwenye hatua za awali.
Ilitoka 0-0 kwenye Uwanja wa Taifa Shamba la bibi na Santos waliokua mabingwa wa South Africa na katika mechi ya marudiano iliyofanyika kule Bondeni wakatoka sare ya 1-1 na hivyo Simba ikafuzu kwa faida ya goli la ugenini
Mazingira hayo ndio yananifanya niwe na hofu pamoja na tabia ya timu zetu kudharau baadhi ya timu hasa za Msumbiji ambazo kiuhalisia mpira wao na wetu haupishani sana na huwenda wakawa juu zaidi yetu
Wee endelea kukaa hapo watu wameshachomoa betriiiNimekaa mara fikra za woga zimenijia. Nahofia timu yangu Lunyasi wa Msimbazi kuaga mapema kwenye michuano ya CCL. Naomba iwe ni ndoto tu
Kumbuka kwenye mchezo wao wa kwanza wa raundi ya kwanza walitoka sare ya bila kufungana AS SONGO ya Msumbiji
Ndugu zangu sare ya bilakufungana ugenini ni hatari sana. Unatembea kwenye uzi mwembaamba sana baina ya kusongambele na kutupwa nje ya mashindano.
Hapo hakuna alternative kwa Simba zaidi ya ushindi. Afadhali ile sare waliotoka watani zetu wa Jangwani na Township Rollers, sare ya bao moja kwa moja. Kama Yanga wakikaza ugenini wakatoka angalau sare ya bao mbili kwa mbili au zaidi wanafuzu kwa raundi inayofuata
Msimbazi akitoa sare ya magoli ya aina yoyote anaaga mashindano, suluhu ya bilabila ni changamoto ya mikwaju ya penati ambayo sikuzote haina mwenyewe!
Tuliidharau timu hii ya Mozambique lakini siku zote Msumbiji hua inatusumbua sana iwe kwa ngazi ya vilabu na hata timu ya Taifa. Wana style yao ya kufunga goli dakika tano za mwanzo na likang'ang'ania hadi mpira unaisha
Natoa wito kwa viongozi na hasa benchi la ufundi wasiwachukulie poa hawa jamaa
Waache kabisa tabia yao ya kufanya majaribio ya wachezaji na aina ya uchezaji, tabia ambayo kocha wetu Patric anayo sana. Waweke kikosi cha kazi isitukute aibu tukakosa pa kuweka sura zetu
Sisi mashabiki panapo majaaliwa tutakuwepo uwanja wa Taifa kutoa sapoti inayohitajika kama kawaida yetu
SIMBA NGUVU MOJA
Huenda hajui mpira mkuu, hajui kuwa Vyura wanalazimika jua liwake au lisiwake ni lazima wafunge goli ndio wapite na hapo itategemea na FT results.
.
Simba hapa lazima ashinde wale watoto wadogo sana
Tutafakari kushindwa??sio sehemu ya Utamaduni wetu, sisi tunawaza kumfunga hata Barcelona
Simba wana option zaidi ya ushindi mkuu? Yanga wao wanawza wakatoka sare wakafuzu, au hesabu za goli la ugenini zinakupiga chenga?
Yanga akipata droo ya 0-0 inakuwaje mbona hutaji??Yanga ili aendelee ni lazima afunge goli asipofunga goli lolote njeeee mbona husemi??Watu wanashindwa kuelewa ukweli kwamba Simba anakiwa kushinda tu ,safe yoyote ibamtupa nje ya mashindano , bila bila anakutana na mikwaju ya penati
Yanga yeye akipata 1-1 anakutana na mikwaju ya penati ila 2-2 ,3-3 na kuendelea Yanga anasonga mbele kwa goli la ugenini.