Chama langu Simba hatari inakuja tuchukue tahadhari

Kuna wakati kama kweli tunazipenda timu zetu inabidi tuwaambie ukweli. Simba hii timu waliidharau na wamejiamini kupita kiasi. Wanaingia uwanjani kwa kucheza na historia

Waamke wachukulie mambo seriously
We jamaa vp. Ulikua unaleta hoja au umeleta kubishana?
Ingekua vyema ungetulia usikilize hoja za wenzako.
Kwanza umejichanganya Kwenye hoja yako, tunashukru umekiri hili.
Pili unavyosema Simba wamezadharau hii mechi ulitaka washambilie ugenini bila kujilinda?
Mwisho tafuta maneno ya kocha wa Simba baada ya mechi.
Ni kweli mechi itakua ngumu ka zilivyomechi nyingine, kwa nini uwe na hofu wakati unaenda vitani afu adui anakuja Kwenye ngome yako.
Twende uwanjani tukawatie Moyo wapiganaji wetu ushindi upo mikononi mwetu.
"Simba Nguvu moja"
 
Mkuu Wala hujakosea kwa Fraga Nadhani mkude atumike kwenye mechi Za ligi ya Nyumbani zaidi na kule Za kimataifa asaidie saidie hasa Za home pia Tairone ana nguvu Sana anaweza pambana man-man na strikers wajanja wajanja wa CACL
Wawa mechi iliyopita alijitahidi lakini kwa Mpira wake kulazimisha achezeshwe yatakua Yale Yale
 
Wale jamaa wanaupiga mwingi na wanatengeneza nafasi kibao lakini wana allergy na kufunga, ni dhambi kubwa mno kuweka mpira nyavuni wale jamaa, kwa nafasi walizotengeneza siku ile na wakashindwa kuzitumia, nathubutu kusema Simba wasiwe na wasiwasi kabisa, wale jamaa hawang'ati
 
Unajiabisha, sare ya 1-1 Taifa inampa advantage gani Yanga wakat alikuwa mwenyeji mzee?
Simba wana option zaidi ya ushindi mkuu? Yanga wao wanawza wakatoka sare wakafuzu, au hesabu za goli la ugenini zinakupiga chenga?
 
 
Bora umewaambia,kumbe si wite mbumbumbu kuna wanaofikiri Vizuri, game iko open sana maana wale wanakuja kujilipua tu hawana chakupoteza
 
Bora umewaambia,kumbe si wite mbumbumbu kuna wanaofikiri Vizuri, game iko open sana maana wale wanakuja kujilipua tu hawana chakupoteza
That is my argument mkuu nashangaa Lunyasi wenzangu wakanishukia kama mwewe

Jambo jingine la kuhofia ni mentality ya kudhani Simba inauwezo wa kushinda mechi zote U/Taifa na hivyo kujijengea over confidence ambayo ni hatari hasa unapocheza na timu inayoona haina cha kupoteza
 
Kitu ambacho bado hujaelewa ni kwamba Simba hatuhitaji kuweka hisia za Uoga mbele kama Vyura, Hisia za mashabiki wa Simba ktk hatari ni kama hisia za Mmasai anapokutana na mnyama Simba porini,hisia za mashabiki wa Yanga ni kama Mzaramo anapokutana na mnyama Simba!Hapa mzaramo atawaza kufa tu na kukimbia!!

Sasa hii unayoona mashabiki wenzako wa Simba wanapambana na wewe ni kwamba hatuhitaji hisia za kiyangayanga!!Tunaona unataka kutuambukiza hisia za kufa kufa tu hisia za kiyanga hizo.Hatuzihitaji.Kitu kimoja unatakiwa ujue usione Masai ni Jasiri kupambana na Simba ukadhani Masai eti hajui kama Simba anaua.Ukishindwa kuelewa kwa maelezo haya utakuwa umeshindikana
 
Mwambie aliyekusimulia amekudanganya, hayo sio matokeo ya Santos Vs Simba! Nyau jike weee
 
Wee endelea kukaa hapo watu wameshachomoa betriii

Hizo hofu peleka churani!
 
Watoto wadogo kwa kigezo gani lazima uwafunge , kuwafunga ni baada ya dk 90 umetengulia goli moja mbele , tuache kujipa matumaini makubwa huu ni mpira unamaajabu yake.
Huenda hajui mpira mkuu, hajui kuwa Vyura wanalazimika jua liwake au lisiwake ni lazima wafunge goli ndio wapite na hapo itategemea na FT results.
.
Simba hapa lazima ashinde wale watoto wadogo sana
 
Watu wanashindwa kuelewa ukweli kwamba Simba anakiwa kushinda tu ,safe yoyote ibamtupa nje ya mashindano , bila bila anakutana na mikwaju ya penati
Yanga yeye akipata 1-1 anakutana na mikwaju ya penati ila 2-2 ,3-3 na kuendelea Yanga anasonga mbele kwa goli la ugenini.
Simba wana option zaidi ya ushindi mkuu? Yanga wao wanawza wakatoka sare wakafuzu, au hesabu za goli la ugenini zinakupiga chenga?
 
Yanga akipata droo ya 0-0 inakuwaje mbona hutaji??Yanga ili aendelee ni lazima afunge goli asipofunga goli lolote njeeee mbona husemi??

Sisi Simba tunajua kazi tuliyonayo ni Kumrarua UD Songo, hayo matokeo mengine mnajua ninyi Yanga na mashabiki wenye Uyangayanga(hali ya kuwa na hofu ya kushindwa muda wote)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…