Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,283
- 10,660
Anasingizia bandoVipi unajisikiaje sahz?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasingizia bandoVipi unajisikiaje sahz?
Mechi ya kuzindua uwanja tulishinda.Na goli alifunga Abdi Kassim Babi,nadhani baada ya hapo kukawa Na mechi ya mashindano nadhani tulikuwa tunahitaji droo au ushindi.Maskini goli la Mwanzoni la Black Mamba lililofungwa Na Tico Tico halikurudi mpaka 90 zinaishaKiongozi hii ni kweli kabisa! Sikumbuki ni lini tumewahi kuwafunga Msumbiji kuanzia kwenye klubs au timu ya taifa! Tangu walipotutia nuksi kwa Mchina, Msumbiji siwataki kabisa!! Yaani ile mijamaa inajua kabisa tumeiita kudumisha udugu wetu katika kuzindua uwanja wetu lakini bado ikatutandika!!!