Simba kupata sare na Al-Ahly ni uimara wa Simba au udhaifu wa Al-Ahly?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,316
12,614
Simba imepata sare ya 2-2 na Al-Ahly kwa Mkapa na 1-1 Cairo kwenye AFL mwaka huu. Kwa muda mrefu Simba huwa inaishia Robo Fainali kwnye Mashindano ya CAF, na sasa wameishia hapohapo kwenye robo ya mashindano kwa kutolewa na Al-Ahly kwa kanuni ya bao la ugenini.

Wadau wa Simba wanadai kuwa wametolewa kiume na kutoka sare na Al-Ahly ni dalili kamili ya kukua kwa mpira wa Simba, lakini kuna wanaosema kuwa kukua kwa mpira wa Simba kungekuwa kuvuka hatua ya Robo Fainali, kucheza Fainali au kuleta Kikombe cha CAF nyumbani na sio kutoa sare na timu kubwa na kutolewa kwenye mashindano.

Kutoka sare na Al-Ahly, je, ni kweli mpira wa Simba umepanda au ni kushuka kiwango kwa Al-Ahly kuliko miaka iliyopita?
 
Mwikonyuma mnatapatapa sana,ngojeni mtakutana nao ndiyo hapo mtanyoosha maelezo yenu
FB_IMG_1698229037916.jpg
 
Simba imepata sare ya 2-2 na Al-Ahly kwa Mkapa na 1-1 Cairo kwenye AFL mwaka huu. Kwa muda mrefu Simba huwa inaishia Robo Fainali kwnye Mashindano ya CAF...
Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora

Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.

Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili tuwe tunamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.

Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.

Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Simba imepata sare ya 2-2 na Al-Ahly kwa Mkapa na 1-1 Cairo kwenye AFL mwaka huu. Kwa muda mrefu Simba huwa inaishia Robo Fainali kwnye Mashindano ya CAF...
Kinaponesa kiatu kuna mawili, soli imeanza kuchoka au lishe ya mvaaji imeongezeka
 
Hata Ihefu iliifunga Yanga. Lakini Inawezekana pia ligi ya Egypt inashuka pia na ligi ya Tanzania imepanda. Yaani Al-ahly inapata matokeo kwenye timu dhaifu za ligi
Nilifikiri umekuja kutafuta maoni, kumbe una jibu lako. Umeonyeshwa mkeka wa mechi tano zilizopita za Al Ahly kabla hajacheza na Simba, kuwa amefunga mabao 17 na kufungwa moja ila alipocheza mechi mbili na Simba akafunga matatu na kufungwa matatu. Lakini nashangaa umesema hata Ihefu aliifunga Yanga. ina maana Ihefu ana strike ya ushindi wa mechi tano kama Al Ahly?
 
Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora

Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.

Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili tuwe tunamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.

Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.

Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
.
JamiiForums592774928.jpg
 
Simba imepata sare ya 2-2 na Al-Ahly kwa Mkapa na 1-1 Cairo kwenye AFL mwaka huu. Kwa muda mrefu Simba huwa inaishia Robo Fainali kwnye Mashindano ya CAF, na sasa wameishia hapohapo kwenye robo ya mashindano kwa kutolewa na Al-Ahly kwa kanuni ya bao la ugenini.

Wadau wa Simba wanadai kuwa wametolewa kiume na kutoka sare na Al-Ahly ni dalili kamili ya kukua kwa mpira wa Simba, lakini kuna wanaosema kuwa kukua kwa mpira wa Simba kungekuwa kuvuka hatua ya Robo Fainali, kucheza Fainali au kuleta Kikombe cha CAF nyumbani na sio kutoa sare na timu kubwa na kutolewa kwenye mashindano.

Kutoka sare na Al-Ahly, je, ni kweli mpira wa Simba umepanda au ni kushuka kiwango kwa Al-Ahly kuliko miaka iliyopita?
Ni uimara wa Simba japo sio timu yangu
 
Ule msako alopigwa Simba Taifa na kule Misri, hakika ni bahati tu ilikuwa upande wa Simba. Simba hakuna timu pale.
 
Back
Top Bottom