Toka tarehe 5 umeandika ujumbe huu hadi leo kimya.Muda wowote kuanzia sasa, tunaelezwa kuwa Clatous Chota Chama "Triple C" atakuwa anatambulishwa kama mchezaji mpya wa Simba kutoka Rs Berkane!
Ndugu mwanamichezo, kama ni kweli unalipi la kuwaambia Wana Simba?
Mbona una haraka, mambo mazuri hayataki harakaToka tarehe 5 umeandika ujumbe huu hadi leo kimya.
Kunywa maji kwanza mwananguMkuu tangazo zito kurudi kwa chama kweli?? Sawa na okwi kurudi bongo sio agenda ya kushangaza maana anarudi akiwa kafeli sasa aliyefeli anarudi kurisiti pepa nini cha ajabu.