Nilipobold, nafikiri hujui historia ya ujio wa vyama vingi na wala hujui NCCR-Mageuzi imetoka wapi na composition yake walikuwa akina nani na nani aliwateua, fanya homework kidogo utajua sababu ya kusambaratika kwa NCCR-Mageuzi rejea pia Kama Huru ilikuwa nini.Nafikiri wamedhoofika si kwa sababu ya msaliti, bali nafikiri hivi vyama haviko kwa ajiri ya kushika dola, bali wapo kwa ajiri ya kula pesa, maana wanapata ruzuku nzuri sana, ni pesa ndefu. Na ndio maana utaona vyama vyote mtafaruku unanzia kwenye uongozi. Maana ukiwa kiongozi wa juu, ndo ule mfereji wa ruzuku unakuwa unabubujukia kinywani mwa kiongozi.
Kama katiba mbona wanazo katiba nzuri tu, na hawazifuati ili kuhakikisha mfereji wa ruzuku lazima uwe mkabala na mdomo wa kiongozi, hivyo ndo ilivyo. Unaweza imba vingine utakavyo, lakini naamini uhaisia ndo huu.
Nilipobold, nafikiri hujui historia ya ujio wa vyama vingi na wala hujui NCCR-Mageuzi imetoka wapi na composition yake walikuwa akina nani na nani aliwateua, fanya homework kidogo utajua sababu ya kusambaratika kwa NCCR-Mageuzi rejea pia Kama Huru ilikuwa nini.
Kama mwenyewe umesema katiba zao ni nzuri tatizo ni ruzuku, je unakumbuka enzi za Mrema ilifikia hatua ya serikali kuingiza ruzuku kwenye akaunti binafsi ya Mrema? unalijua hilo na lengo lake lilikuwa nini kama si serikali kuchochea vurugu? wake up.
Haya ya akina Chacha Wangwe, Zitto and alike ni marudio tu ndio maana hadi sasa Chadema kimeweza ku-handle kwa utulivu wewe unaweza kuwaona kama wapigania demokrasi ndani ya vyama kumbe sivyo.
Nafikiri wamedhoofika si kwa sababu ya msaliti, bali nafikiri hivi vyama haviko kwa ajiri ya kushika dola, bali wapo kwa ajiri ya kula pesa, maana wanapata ruzuku nzuri sana, ni pesa ndefu. Na ndio maana utaona vyama vyote mtafaruku unanzia kwenye uongozi. Maana ukiwa kiongozi wa juu, ndo ule mfereji wa ruzuku unakuwa unabubujukia kinywani mwa kiongozi.
Kama katiba mbona wanazo katiba nzuri tu, na hawazifuati ili kuhakikisha mfereji wa ruzuku lazima uwe mkabala na mdomo wa kiongozi, hivyo ndo ilivyo. Unaweza imba vingine utakavyo, lakini naamini uhaisia ndo huu.
Sasa Zitto atapumua uenyekiti huooo anaukwaa,
ushauri atangulize masilahi ya chama mbele na si Zitto kwanza atafanikiwa.
Hongereni ccm .mtazidi kupeta Wakati wenzenu wanagawana kura NYie za kwenu ziko palepale.
Jamaa anakosoa ndoa za watu wakati hajawahi kuwa na familia anafikiri kuishi na hawala ni sawa na kuishi na mke wa ndoa.Umoja wa mayuda (UWAMA) ni jina zuri kwao! Kwa mnafiki Zitto kukimbilia mahakama ni kudeka, mtoto wa mama! Anafuliwa nguo na mama yake. Hajaoa na anakosoa ndoa za wengine. Ngoja aoe tumchapie kwa gharama yoyote ile