fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
Naomba kiwe kokolo kichukue uchafu wote ndani ya upinzani wa kweli, maana mamba wamekuta wakifanyakazi na kenge kibao.
Starehe na maafa: Chris LukosiMwenyekiti: Zitto Kabwe,
Katibu Mkuu: Rashid hamad
Katibu Mwenezi: Kafulila
Mambo ya muungano na katiba: Mansoor Yussuf Himid
Jumuia ya Wanawake: Bi. Shonza
Jumuia ya chipukizi: Mwampemba
Baraza la wazee: Arfi
Mkuu wa usalama: Brigedia Nyakarungu
Wapambe: sixgates, .........nk nk.