Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Msajili wa vyama vya siasa nchini ndugu John Tendwa amekisajili kwa muda Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kikiwakilishwa na mwenyekiti wa muda ndugu WALESI MAYUNGA.
Msajili wa vyama vya siasa nchini ndugu john tendwa amekisajili kwa muda chama cha chama cha ukombozi wa umma (CHAUMA)
Nafikiri hao wanachama kama wangeiunga mkono kwa kujiunga na Chadema,.ingekua vema sana
Nafikiri hao wanachama kama wangeiunga mkono kwa kujiunga na Chadema,.ingekua vema sana
chama cha zitto kabwe, huku kigoma tunajiandaa kuhamia chama zitto, ukabila wa chadema umetuchosha.
Chadema sio chama ww , ni wanaharakati. Na kuna mpango wa kukifuta kwenye orodha ya vyama vya siasa isajiliwe kwenye wizara ya mambo ya ndani ambapo wanaharakati walio na NGOs zao ndiko wanakosajiliwa na cdm ikasajiliwe huko
Viongozi wa chama ni kina nani, au ndio cha akina Kafulila MWENYEKITI WA CHAMA HICHO NI WALESI MAYUNGA
Kwahiyo Chama cha ukabila huko kigoma?chama cha zitto kabwe, huku kigoma tunajiandaa kuhamia chama zitto, ukabila wa chadema umetuchosha.
Chadema sio chama ww , ni wanaharakati. Na kuna mpango wa kukifuta kwenye orodha ya vyama vya siasa isajiliwe kwenye wizara ya mambo ya ndani ambapo wanaharakati walio na NGOs zao ndiko wanakosajiliwa na cdm ikasajiliwe huko
chama cha zitto kabwe, huku kigoma tunajiandaa kuhamia chama zitto, ukabila wa chadema umetuchosha.
Msajili wa vyama vya siasa nchini ndugu John Tendwa amekisajili kwa muda Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kikiwakilishwa na mwenyekiti wa muda ndugu WALESI MAYUNGA.