Jamiiforums,
Kimahesabu Hakuna uwezekano wa chama chochote Katika bunge lenye viti maalum 115 kupata viti viwili.
Namba huwa hazidanganyi. Kitu Kama hicho ni uongo.
IPO Hivi, ili ushiriki kupata viti maalum Inabidi uwe na angalau asilimia 5 ya kura za wabunge.
Ukiwatoa wale wa kura za wabunge chini ya asilimia 5. Hii ya angalau asilimia 5 ambayo chama kimepata inapanda kidogo. Kwahiyo idadi ya chini chama cha Chaumma kingeweza kupata ni viti sita.
Viti viwili ni usanii na uongo na kushindwa hata kujua namba. Hakuna uwezekano huo wa viti viwili.
Kimahesabu Hakuna uwezekano wa chama chochote Katika bunge lenye viti maalum 115 kupata viti viwili.
Namba huwa hazidanganyi. Kitu Kama hicho ni uongo.
IPO Hivi, ili ushiriki kupata viti maalum Inabidi uwe na angalau asilimia 5 ya kura za wabunge.
Ukiwatoa wale wa kura za wabunge chini ya asilimia 5. Hii ya angalau asilimia 5 ambayo chama kimepata inapanda kidogo. Kwahiyo idadi ya chini chama cha Chaumma kingeweza kupata ni viti sita.
Viti viwili ni usanii na uongo na kushindwa hata kujua namba. Hakuna uwezekano huo wa viti viwili.