Chama gani kipo makini? Nataka kujiunga nacho

Chama gani kipo makini? Nataka kujiunga nacho

Ndugu
wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga
na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa
dhati. Wadau nijiunge na chama gani? By elly. Mategemeo yangu ni kwamba Mtakaza michango yenu kwa kuniambia SERA za hivyo vyama mnavyofikiri ni makini,sio mm tu wapo wengi watashawishika na kujiunga na vyama makini. Sio wote wenye vyama vya siasa.


Jiunge na Chadema tu au CUF. Ukienda CCM hutoitendea nafsi yako haki kwani wao ni adui wa haki.
 
ndugu
wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,nataka kujiunga
na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na rushwa wanaipinga kwa
dhati. Wadau nijiunge na chama gani? By elly. Mategemeo yangu ni kwamba mtakaza michango yenu kwa kuniambia sera za hivyo vyama mnavyofikiri ni makini,sio mm tu wapo wengi watashawishika na kujiunga na vyama makini. Sio wote wenye vyama vya siasa.

kwa sasa chama makini ni chadema peke yake vyama vingine ni makanjanja.nakusii nenda chadema harakasana
 
Ndugu
wana jf. Mm n mtanzania na sijajiunga na chama chochote,Nataka kujiunga
na chama makini ambacho kwao hawana ufisadi na Rushwa wanaipinga kwa
dhati. Wadau nijiunge na chama gani? By elly. Mategemeo yangu ni kwamba Mtakaza michango yenu kwa kuniambia SERA za hivyo vyama mnavyofikiri ni makini,sio mm tu wapo wengi watashawishika na kujiunga na vyama makini. Sio wote wenye vyama vya siasa.


BY ELINEEMA MOSI
MAJIBU SAHIHI YA CHAMA GANI WADAU BADO SIJAYAPATA,MBONA MNACHOKA KUNIELEZA SERA ZA CHAMA CHENU?
Samhani mkuu, una umri gani?
Jibu kwanza umri wako halafu mengine ndiyo yatafuata.
 
Back
Top Bottom