Chama gani kipo makini? Nataka kujiunga nacho

Chama gani kipo makini? Nataka kujiunga nacho

Swali Lako ni sawa
nakumuliza mwanaume kuwa niko single sijaoa na sina mwananke katika
Maisha yangu, wote niliokutana nao ni malaya hivvyo naomba mnichagulie
mke.

Jaman naona umenijibu kisiasa tena siasa zile Rostam alizozikataa.
 
Njoo M23

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Jibu liko wazi. Jiunge kwenye Chama cha Mpira wa Kikapu Tanzania. (CHANETA)
 
jiunge na magamba ule wali kama cc tunavyojisevia iyela,km harusin vile na nilikuwa na njaa sasa npo poa naenda zang kwa makamanda.
 
Njoo M23

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Huko kuna nini?Nilitegemea watu wanafahamu sera za vyama vyao basi wangenishawishi nijiunge na chama chao kwa sera mbona mnakalia majungu?
 
Ngoja kwanza nduguyangu, mkombozi bado haja zaliwa. CCM mafisadi na ndio walio tufikisha hapa tulipo. CDM ni magaidi (kama ujuavyo) hawataki nchi itawalike wapo tayari kuingia ikulu hata kwakumwaga damu. Nakushauri nduguyangu ngojea hoja ya mgombea binafsi ipite, humo ndiko aliko mkombozi wetu
 
Ngoja kwanza nduguyangu,
mkombozi bado haja zaliwa. CCM mafisadi na ndio walio tufikisha hapa
tulipo. CDM ni magaidi (kama ujuavyo) hawataki nchi itawalike wapo
tayari kuingia ikulu hata kwakumwaga damu. Nakushauri nduguyangu ngojea
hoja ya mgombea binafsi ipite, humo ndiko aliko mkombozi wetu

Mmh hayo ni yakwako. Taasisi ya mtu mmoja ni hatari sana.
 
kama huwezi kuchambua mbivu na mbichi basi hutufai. mia

Wewe uliyeweza kufanya hivyo basi nimwagie sera za hicho chama chako hapa wote tuone? Kumbuka sio wote wanaweza kuwa wachambuzi bila kusaidiwa na watu kama wewe!
 
Back
Top Bottom