Nina mjadala ningependa kupata maoni yenu yenye back up ya sababu unayohisi/kuwa na yakini chama X kitapata Wabunge wengi kwenye uchaguzi wa mwaka 2020.
Kwasababu Ccm na Nccr mageuzi ni vyama vya kizalendo
Hao wengine wanatumika na Mabeberu
Huoni wakati tunapigania raslimali za Nchi wabunge wa Chadema waliamua kuwatetea Mabeberu, kuna mbunge wa act alienda USA kushawishwi tunyimwe mkopo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.