johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Kila mchangiaji anayetaka Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe Wasimamizi wa Uchaguzi mkuu anatolea mfano Uchaguzi wa mwaka 2020 Kwamba haukuwa Huru na Haki
Tena wanadai Wabunge Wengi walitangazwa Washindi kinyume cha taratibu, kanuni na sheria
Mimi nijuavyo kuanzia 1995 Wabunge Wengi tu walikuwa wanashinda isivyo halali na walitangazwa kwa maguvu tu
Sasa iweje wachangiaji Washupalie 2020?
Halafu na hawa Wabunge wa Mchongo Misikitini na Makanisani wanapokelewa kweli? Na sadaka zao zinafika Mbinguni kwa Mungu mwenyewe?
Nawatakia Sabato Njema 😄
Tena wanadai Wabunge Wengi walitangazwa Washindi kinyume cha taratibu, kanuni na sheria
Mimi nijuavyo kuanzia 1995 Wabunge Wengi tu walikuwa wanashinda isivyo halali na walitangazwa kwa maguvu tu
Sasa iweje wachangiaji Washupalie 2020?
Halafu na hawa Wabunge wa Mchongo Misikitini na Makanisani wanapokelewa kweli? Na sadaka zao zinafika Mbinguni kwa Mungu mwenyewe?
Nawatakia Sabato Njema 😄