Chama Cha Waalimu Tanzania (CWT): Hatutaichagua CCM

We ndiye mjinga na CCM itashinda utake usitake hata hivyo nina mashaka na elimu yako na vyeti vyako kwani unashindwa kutofautisha digrii yako ya kukariri baba yako alizaliwa wapi (art) unalinganisha na mtu aliyesomea jinsi baba yako alivyoumbwa na kuzaliwa na viungo vyake vyote vinavyofanya kazi (sayansi) haitatokea hata siku moja MD akalipwa sawa na mtu kama wewe uliyekimbia sayansi kwa kutaka ulaini eti unataka equalization kasome uone kama hutalipwa hiyo milioni unayoililia. Kadigrii kenyewe unakasoma miaka mitatu tu umeajiriwa mwenzako anasota miaka mitano hasemi, pole sana endelea kulalamika na kuropoka kama unaona ni sahihi, umehongwa huko unakuja kuwasemea walimu umetumwa kuwasemea hapa jf?

Wewe ndege,kibaraka wa elfu 7 ya nape usifikiri mimi nina elimu ya magumashi kama yako na ndio maana unasacrifice utu wako na kusahau shida walizo nazo watanzania kwa ajili ya elfu 7 ya lumumba....endelea kuwatumikia wezi wa rasilimali za nchi.
 
Simchagui Magufuli

Tatizo si Magufuli ndugu yangu Magnify na wengine wote wa Ukawa. Tatizo ni ule mbadala wa Magufuli ndio FISADI KUU LILILOKUBUU AMBALO uKAWA WANAJITAHIDI KULISAFISHA kwa OMO toka Kenya.

Ni kosa kubwa sana lisilosameheka kwa Ukawa kumteua Lowasa kinyume na taratibu agombee uraisi. Kama kweli alipokatwa CCM hakuweza kustahimili je wale waliokatwa UKAWA mfano Lipumba na Slaa. Kumbuka Lipumba alishaonyesha Nia, si wangempambanisha na Lowasa sikutumia udikiteta.

Maana unaruka mkoja waangukia kwenye Ma.vi. Uchaguzi hatuna mwaka huu
 
Wewe ndege,kibaraka wa elfu 7 ya nape usifikiri mimi nina elimu ya magumashi kama yako na ndio maana unasacrifice utu wako na kusahau shida walizo nazo watanzania kwa ajili ya elfu 7 ya lumumba....endelea kuwatumikia wezi wa rasilimali za nchi.

Edward alikataliwa CCM kwa sababu ya kukosa uadilifu halafu wewe unayetamba umesoma unashindwaje kupambanua ubaya wa Lowasa kukimbia CCM na kuja ukawa ambao ni haohao waliotuambia kuwa edo hafai sasa leo hii edo anafaa kwa lipi? tumia kichwa kufikiri na siyo masaburi acha ulimbukeni
 
Edward alikataliwa CCM kwa sababu ya kukosa uadilifu halafu wewe unayetamba umesoma unashindwaje kupambanua ubaya wa Lowasa kukimbia CCM na kuja ukawa ambao ni haohao waliotuambia kuwa edo hafai sasa leo hii edo anafaa kwa lipi? tumia kichwa kufikiri na siyo masaburi acha ulimbukeni

Napambanua ubaya wa Mzee wa ESCROW, CHENGE,NGELEJA,TIBAIJUKA na wezi wengine wa mali ya umma.
 
Serikali ya chama tawala imeangamiza vipaji vya watanzania toka uhuru. Moja kati ya wizara zinazopata bajeti kubwa ni wizara ya elimu lakini fedha hazifiki vyuoni na mashuleni. Shule nyingi sana zipo gizani, hata umeme wa solar tumeshindwa kufunga, mshahara wa mwl mdogo, nyumba za walimu hazipo. Mazingira magumu ya kazi hayatoweza kamwe kutoa vipaji na ushindani wa maendeleo kwa nchi majirani. Suluhisho la yote ni hapo oktoba wadau wote wanaokubaliana na hoja kuwa bila maarifa kupitia elimu hakuna maendeleo kuikataa ccm na kuweka utawala mpya wenye kipaumbele cha elimu bora kwa Watanzania.
 
Kinachotakiwa hapa ni serikali mpya itakayotoa kipaumbele cha elimu kwa mtanzania na ukweli ni kwamba ccm hili wameshindwa kulifanya toka uhuru!
 
CWT=CHAMA CHA MAVIBAKA
CCM=CHAMA CHA MAJABAKA

YAANI CWT NA CCM YOTE NI MAJIZI YANAYOSHIRIKIANA KUWAIBIA WALIMU.

Na Mwenye Mungu ameanza kuyalaani:scared:
 
Mpaka sasa Kuna walimu nawafahamu wanamsapoti magufuli,usiusemee moyo.
 
Walimu ni kama watumishi wengine ndani ya nchi hii hawana special needs kama mataahira kinachofanyika kwao ni kilekile kinachofanyika kwa watumishi wengine wasijone wao ndiyo wateule, hivi mwalimu anaweza kufundisha akiwa mgonjwa hivi mwalimu anaweza kuingia darasani wakati mabomu yanapigwa nyuma ya nyumba yake? au mwanaye kapigwa risasi, Serikali nyingine wanayoitaka niya Dr Magufuli itawafaa sana ni kweli shemeji yao kwaachia jembe.
Heri ingekuwa chaki kuliko jembe,kalitumie wewe.walim so watu wakupewa kiongozi watajichagulia wenyewe.
 
Walimu ni kama watumishi wengine ndani ya nchi hii hawana special needs kama mataahira kinachofanyika kwao ni kilekile kinachofanyika kwa watumishi wengine wasijone wao ndiyo wateule, hivi mwalimu anaweza kufundisha akiwa mgonjwa hivi mwalimu anaweza kuingia darasani wakati mabomu yanapigwa nyuma ya nyumba yake? au mwanaye kapigwa risasi, Serikali nyingine wanayoitaka niya Dr Magufuli itawafaa sana ni kweli shemeji yao kwaachia jembe.
Heri ingekuwa chaki kuliko jembe,kalitumie wewe.walim so watu wakupewa kiongozi watajichagulia wenyewe.
 
nimeanza kazi mwaka 2008. nimepandishwa daraja mara moja tu mwaka 2011. mshahara ukaja kubadilishwa mwaka mmoja baadae yaani 2012. malimbikizo ya mwaka mzima sijalipwa hadi leo. na kiwango cha mshahara cha sasa kabla ya makato (basic salary) ni 462,000.nina diploma in adult and continuing education ila nafundisha primary school kijijini mno.
 
Nina miaka 5 tangu niajiriwe sina matumaini ya kupanda daraja. Kupanda daraja ni haki ya msingi ya mtumishi lakini kwa serikali ya CCM inabidi uipiganie haswa. Watoke tu, tumechoka.
 
Wewe ndege,kibaraka wa elfu 7 ya nape usifikiri mimi nina elimu ya magumashi kama yako na ndio maana unasacrifice utu wako na kusahau shida walizo nazo watanzania kwa ajili ya elfu 7 ya lumumba....endelea kuwatumikia wezi wa rasilimali za nchi.

Huyu jamaa Wa ajabu kweli,hivi kwani walimu wrote wamesoma arts na hakuna walimu Wa sayansi? halafu hiyo sayansi anayoisema ni IPI ambayo haijaweza kutengeneza sindano,kiberiti na kutumia mwarobaini kupata tiba ya malaria?
 
We ndiye mjinga na CCM itashinda utake usitake hata hivyo nina mashaka na elimu yako na vyeti vyako kwani unashindwa kutofautisha digrii yako ya kukariri baba yako alizaliwa wapi (art) unalinganisha na mtu aliyesomea jinsi baba yako alivyoumbwa na kuzaliwa na viungo vyake vyote vinavyofanya kazi (sayansi) haitatokea hata siku moja MD akalipwa sawa na mtu kama wewe uliyekimbia sayansi kwa kutaka ulaini eti unataka equalization kasome uone kama hutalipwa hiyo milioni unayoililia. Kadigrii kenyewe unakasoma miaka mitatu tu umeajiriwa mwenzako anasota miaka mitano hasemi, pole sana endelea kulalamika na kuropoka kama unaona ni sahihi, umehongwa huko unakuja kuwasemea walimu umetumwa kuwasemea hapa jf?

Nani kakuambia kila mwalimu ni wa art? PCM, PCB, PGM,CBG zinafundishwa na nani?
 
Back
Top Bottom