Kiriku
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 345
- 134
Nyie mnafikiria nini mkuu. Mko tayari kuleta machafuko maadam mbakie madarakani.
Mkuu ungeanza kusoma uzi wangu toka mwanzo ukauelewa ndio ukacomment
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
Nyie mnafikiria nini mkuu. Mko tayari kuleta machafuko maadam mbakie madarakani.
Mpiga picha wa Jangili kinana naona umepagawa tulia dawa ikuingie muda wenu umefikaNdugu, Hata unachokiandika hukielewi. Are you BAVICHA?.
Eti mgombea kiti cha Urais ameshinda Urais!.
Tatizo la watu kama wewe mnadhani mnafamu kila kitu, na matokeo yake hamtaki hata kujifunza either kwa kukosolewa au kujiendeleza.
Ninaamini hufahamu hata njia zinazotumika kumpata Rais na Waziri Mkuu wa India.
Halafu unatueleza eti chama kimeongoza kwa miaka 67 na kikubwa zaidi, siasa za India na Tanzania wapi na wapi.
Jielimishe kwanza kabla ya kudandia hoja nzito katika fikra zako.
Huu ni ushauri!.