Chrisludos
Senior Member
- Oct 12, 2012
- 135
- 41
Nadhani Congress na Ccm wanafanana kwa vitu vingi,ie;
Kurithishana madaraka,tumeona familia ya muasisi wa taifa la India imetawala siasa za India kwa miaka mingi,nchi imekuwa kama ya kifalme kwa viongozi kurithishana,jambo tunaloliona likitokea sana ktk siasa za tanzania mf; Rizone,Sioi sumari,Mgimwa,Nchimbi, Nape,nk.
Rushwa.
Uonevu kwa wananchi.
Na mengineyo,nadhani 2015 ndo mwisho wa CCM.
Kurithishana madaraka,tumeona familia ya muasisi wa taifa la India imetawala siasa za India kwa miaka mingi,nchi imekuwa kama ya kifalme kwa viongozi kurithishana,jambo tunaloliona likitokea sana ktk siasa za tanzania mf; Rizone,Sioi sumari,Mgimwa,Nchimbi, Nape,nk.
Rushwa.
Uonevu kwa wananchi.
Na mengineyo,nadhani 2015 ndo mwisho wa CCM.