Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,309
- 8,875
kupanga ni kuchagua; chadema wameamua kuwekeza fedha zao za ruzuku kwenye kesi za lisu; CCM wamechagua kuwekeza fedha zao kwenye elimu za wapiga kura wao.
serikali ya ccm ikose hela za kuwakopesha wanafunzi ila chama cha ccm kinayo hela.haya ni zaidi ya maajabu.Tumia akili ya kuzaliwa. CCM ina miradi mingi sana kila mwezi mapato yapo hivyo wanaweza kuwa na pesa. Sio wengine hawawazi miradi ya chama nj ubinafsi tu.
wanaiba hela za wananchi halafu wanapeleka ccm kutoa mikopo.huu ni utakatishaji .ccm washtakiwe kwa utakatishaji.Leteni source ya mapato yenu.. nakumbuka Kikwete alikuwa analalamika wakati mlipokuwa na mkutano maalum Dodoma kama siyo mwaka jana mwishoni ni mwaka huu mwanzoni kwamba mapato hayatoshi kukidhi gharama za uendeshaji..
Mwenyekiti mpya amepata vyanzo vingine vya mapato?
Mkuu hii blunder kubwa sanaPolepole anatuharibia chama, kama serikali imekosa kuwakopesha chama kimetoa wapi pesa za kuwakopesha? Unawezaje kuitenganisha CCM na serikali
Sisi kama chama tulitakiwa kuwapambania wapate mkopo kutoka bodi,sio kuja kuwapa mikopo.
CCM kama chama kinachoongoza hatukupaswa kifanya huu ujinga
Hata Escrow kuna wakuu walisema siyo hela za uma na hata sasa hivi wakuu na ccm wanadai hizo za mikopo si za uma lakini atakuja mwingine wenyewe wataanza kusema ni za umawanaiba hela za wananchi halafu wanapeleka ccm kutoa mikopo.huu ni utakatishaji .ccm washtakiwe kwa utakatishaji.
Mkuu kwani ni maamuzi yake?hili suala ni baya kwa chama,zaidi check and balance inakuwaje hapo?kuna loop hole ya watu kupiga pesa sana hapoPolepole ni msemaji/muongeaji mzuri sana lakini ana maono ya chini sana. Hii ni kugombanisha chama kwa wananchi na wasomi, bodi ionekane inanyima mikopo ili chama kifanye siasa..hapa tunakosea!
....Sasa mnatoka kwenye Uchwara mnaelekea kwenye U-nduli?