Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
- Thread starter
- #21
Ushwari wa ndani ya CCM, unakuwaje ishu ya taifa? Hivi CCM inatakiwa kuwa na ushwari upi huo baada ya kumaliza uchaguzi juzi bila matatizo, hivi ushwari unatakiwa uwe wa aina gani zaidi ya wananchi kuweza kukutana chini ya chama chao na kufanya uchaguzi mzito wa kujiongoza as mujibu wa sheria ya nchi yetu?
FMES
Ni umalaya huo huo wa kisiasa kusema kwamba uchaguzi uliisha bila matatizo wakati wapo waliolalamikia rushwa, kura za itifaki nk. Na pengine umalaya huo unatokana na wachache kuhongwa vyeo vidogo vya ujumbe wa kamati baada ya kunyimwa ukuu ambao walidhani wanastahili. Na kubadili huku misimamo ni ushahidi wa umalaya huo. Kulalamika kwa ndani, kusifia kwa nje. Ni Chama Cha Malaya?
Asha