Swala la nepotism liko kila mahali. Hata wewe leo hii ukipewa cheo chochote iwe ni CCM,CHADEMA au Serikali ya CCM lazima uta-practice the same. That's nature. Mbona Watanzania hawasemi CCM ni chama cha KIDINI,KIDUGU au KIKABILA? Vigogo karibu wote wa CCM wamejaza ndugu zao kwenye chama, anza kwa Mama Kiwete,Riz,Kiwete, Dr.Hussein Mwinyi,Nepi Mosses Nnauye,Vita Kawawa,Lusinde,Wassira, Warioba,na wengineo.
Kikwete amejitahidi sana kuingiza Waislamu kwenye Serikali yake. Mbona Watanzania hawapigi kelele kuwa kuna udini na ukabila ndani ya CCM na Serikali yake???
CCM acheni propaganda za kishenzi.