Chama cha conservative cha Cameroon na CHADEMA

Hah! Chadema ni chama Rafiki na conservative ya Uingereza huo ni ukweli.Cameroon alihutubia mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola kama waziri mkuu na mkuu wa serikali ya uingereza.Msimamo alioutoa Cameroon kwenye Commonwealth not necessarily ni backbone ya ideology za chama chake.Kinachounganisha Chadema na Conservative ni mambo ambayo ni deep kabisa katika itikadi.Msingi wa kilichounganisha vyama hivyo utakapotikiswa then Chadema kwa umakini wake na weledi wa kusimamia maslahi ya Taifa ikiwamo utamaduni wa Taifa hili,haki na sheria za nchi zinazokataza ushoga basi naamini chadema haitasita kuchukua hatua

Aidha,kama itatokea masharti hayo ya kipuuzi yakatumika dhidi ya vyama shirika na Conservative naamini Chadema haitaweza ku-compromise values zake na za watanzania kwa kuendeleza ushirikiano wa aina hiyo

Sasa tujadili kwamba sisi kama Taifa tumefikaje hapa?Sera mbovu za CCM na wizi wakutisha na matumizi mabaya ya Raslimali za Taifa hili Tangu tupate uhuru na katika kipindi ambacho chama cha mapinduzi kilipewa,kilinyakua au hata kughilibu dhamana ya kuongoza na kuamua hatma yetu ndicho kilichotufikisha kwenye udhalilishaji huu.Ni dhahiri kwamba kama tungekuwa na mipango thabiti na kutumia dhamana tuliyowapa basi tusingekuwa ombaomba kiasi cha kupewa masharti yenye lengo la kudhalilisha na kuthibitisha kwa jeuri kwamba ukoloni mambo leo ni sehemu ya maisha ya Taifa hili lenye umri wa miaka 50,kimsingi mabeberu wamefanikisha hilo kutokana na usaliti wa tuliowapa dhamana.

Jambo la msingi,kila aliyeguswa na hili na kujisikia kudhalilishwa sasa achukue hatua na kuanza maandalizi ya kuikataa serikali hii ya chama cha mapinduzi ili kuepuka fedheha na balaa zaidi ya hili siku za Usoni
 
nenda democrat au GOP, nenda labor au conservatives vyote vinakubali na vina wanachama mashoga. Ni namna tu wanavyotaka ku-gain political advantages juu ya ushoga ndipo utaliona. Hivi Membe hajui kuwa ktk masuala ya ushoga Ulaya na Marekani hakuna vyama vyenye itikadi tofauti kimsingi?

Halafu mi sioni tofauti ya dhambi ya uzinifu na ushoga. Kama vile nisivyoona haja ya tofauti kati ya dhambi hizo na uuaji, ubakaji na ufisadi. Hivi hasa Membe na ccm wanataka kusema nini hapa?
 
Cameroun ni PM alitoa kauli ya serikali na siyo chama. Kama sheria hiyo ipo katika katiba yao hata angekuwa wa chama kingine angesema hivyo kukidhi matakwa ya nchi yao.

Mkuu, fuatilia siasa za Uingereza ndio useme, sera za kukubali mashoga ni sera za Conservative..

Chama cha Labour kinapingana na sera za mashoga..

Hakuna sehemu yoyote kwenye katiba ya Uingereza mashoga wanaruhusiwa
 
Mkuu, fuatilia siasa za Uingereza ndio useme, sera za kukubali mashoga ni sera za Conservative..

Chama cha Labour kinapingana na sera za mashoga..

Hakuna sehemu yoyote kwenye katiba ya Uingereza mashoga wanaruhusiwa
Kwani hakuna mashoga ccm?

Je mnaruhusu ushoga?Kama hamuruhusu,wafukuzeni uanachama halafu muweke wazi kuwa ccm haitaki mwanachama shoga.

Kama mnapinga ushoga,onesheni kwa vitendo msiwe na ule unafiki wa "Dont ask dont tell" waliokuwa nao marekani kwa wanajeshi wao before.
 
Mkuu, fuatilia siasa za Uingereza ndio useme, sera za kukubali mashoga ni sera za Conservative..

Chama cha Labour kinapingana na sera za mashoga..

Hakuna sehemu yoyote kwenye katiba ya Uingereza mashoga wanaruhusiwa

PM, Cameroon ametoa wapi hiyo??? Au amesemea chama chake?
 
Wanabodi.

Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kinatakiwa kiweke wazi msamamo kwa watanzania mahusiano yao na chama cha Conservative cha Uingereza..

Conservative ni wadhili wakubwa wa Chadema wanawapa misaada mingi sana Chadema.

Tunakumbuka 2005 na 2010 Chadema walipokea misaada mingi kutoka Conservative, Pikipiki, Magari, Baiskeli, pamoja na pesa..

Waziri mkuu wa Uingereza Davidi Cameron, kutoka chama cha Conservative, alitoa kauli kwenye mkutano wa nchi wanachama wa Jumuia ya Madola (CHOGM) uliofanyika Perth, Australia..

Nchi zinazoomba misaada kwao zitambue haki za mashoga kama moja ya masharti ya kupewa misaada hiyo..

Tunaomba viongozi wa Chadema walitolee maelezo jambo hili sababu kati ya wanaopokea misaada Chadema nao inapokea

Masaburi at work!
 
nenda democrat au GOP, nenda labor au conservatives vyote vinakubali na vina wanachama mashoga. Ni namna tu wanavyotaka ku-gain political advantages juu ya ushoga ndipo utaliona. Hivi Membe hajui kuwa ktk masuala ya ushoga Ulaya na Marekani hakuna vyama vyenye itikadi tofauti kimsingi?

Halafu mi sioni tofauti ya dhambi ya uzinifu na ushoga. Kama vile nisivyoona haja ya tofauti kati ya dhambi hizo na uuaji, ubakaji na ufisadi. Hivi hasa Membe na ccm wanataka kusema nini hapa?

Acha kupotosha mkuu,
Chama cha Lobour toka kwa Tony Blairy mpaka Gordon Brown walikuwa wanapinga ushoga pamoja na kotoa mimba na kuwatetea wageni hizo ndio zilikuwa baadhi ya sera zao..

Conservative sera zao pamoja na kukubali haki za mashoga utoaji mimba pamoja na kuwabana wageni na wakimbizi hizo ni baadhi ya sera za Conservative
 
Cameron amezungumza kama Serikali, na si chama
Kikwete aliposema hajui kwa nini TZ ni maskini alizungumza kama serikali, kwa kuwa CCM wanajua kwa nini TZ ni maskini
 
Acha ujinga wa kumsumbua mod sio mjomba wako huyo hadi umwambie afute thread inayo ongea ukweli,Hebu ni kuulize hivi Chadema na Conservative sio marafiki? Kama rafiki yako ni shoga na anatetea ushoga lazima utoe msimamo wako! Chadema msikae kimya kwa hili,je ulizeni urafiki wenu na hao Conservative ni katika kujifunza nini?

We Mzee wa Posho nenda kachukue posho yako ya hongo toka Chama Cha Magamba-CCM!

Hapa ndipo unapoweza kutofautisha kati ya mijitu inayofikiri kwa kutumia masaburi na watu wanaotumia bongo/akili. Tukuulize we mzee Posho tangu chama cha David Cameroon kishike madaraka Uingereza nyie watu wa Magamba mliwahi kataa misaada ya Uingereza kwasababu ya Ushoga???Ondoeni upuuzi wenu hapa. After all huo ni mtazamo wa Cameroon binasfi na siyo sheria wala msahafu. CDM wana haki ya kukataa sharti kama hilo ns kuachana na misaada yenye masharti ya kipuuzi. CDM ina vichwa haitaweza kukubaliana na ujinga kama huo.

Ila nina hofu sana na watu wa Magamba wenye kupenda RUSHWA na UFISADI. CCM wako tayari kuitosa nchi hii kwa sharti hili la USHOGA. Sitashangaa! We ngoja mbio za Urahisi zipambe moto inapokaribia 2015 kama hawatatokea wana Magamba kwenda kuomba chenji ya Kampeni za Uchaguzi 2015. CCM wameshathinitisha kuwa wako tayari kuingia Ikulu kwa gharama yoyote hata kama NI USHOGA! Hili liko wazi kabisa. Tusubiri.
 
Kwani hakuna mashoga ccm?

Je mnaruhusu ushoga?Kama hamuruhusu,wafukuzeni uanachama halafu muweke wazi kuwa ccm haitaki mwanachama shoga.

Kama mnapinga ushoga,onesheni kwa vitendo msiwe na ule unafiki wa "Dont ask dont tell" waliokuwa nao marekani kwa wanajeshi wao before.

Mkuu, swali lako ungemuuliza Nape au Mkama..

Mimi ni Independent Thinker...
 
Mkuu, fuatilia siasa za Uingereza ndio useme, sera za kukubali mashoga ni sera za Conservative..

Chama cha Labour kinapingana na sera za mashoga..

Hakuna sehemu yoyote kwenye katiba ya Uingereza mashoga wanaruhusiwa

Unachoandika hapa ni utapeli wa kisiasa kama gazeti lenu la JAMBO LEO lilivyoripoti leo.Unafiki wa kisiasa utakuangamiza!
 
Unachoandika hapa ni utapeli wa kisiasa kama gazeti lenu la JAMBO LEO lilivyoripoti leo.Unafiki wa kisiasa utakuangamiza!

Hilo gazeti limeandika habari ya Labour part na kina Tony Blair na Gordon Brown kuwa hataki chama chao kiwatambue mashoga?

Mkuu, unabisha kama cha Conservative hakiwapa CDM Magari na pesa kwa ajili ya uchaguzi kama wafadhili wao kisiasa?
 
Mkuu, swali lako ungemuuliza Nape au Mkama..

Mimi ni Independent Thinker...
So am i,
Thread yako haionyeshi any independent thinking.

Rudi ujibu swali langu tafadhali....Nape hana ubavu wa kujibu maswali yangu,huwa anakimbia.Najuwa nnyie ni mawakala...

Thread ni yako lakini umeiposti sehemu ambayo kuna mawazo ya tofauti.

Na kwahiyo tegemea mapungufu mengi tu kwenye hoja hii rojo.

Usishangazwe kuwa ulichofikiri kabla ya kukileta hapa si shahihi na utapata tabu kukilinda endapo hukufikiri deeply kabla ya kubandika.

Narudia swali,hakuna mashoga ccm?
 
Chadema ni chama makini kuna wasomi na kimejaa wanasheria..
Dr. Slaa jitokeze jamvini tuwekeni sawa watanzania, kesho mnaweza kuchukuwa dola watanzania wataka kujua msimamo wenu kama chama litoleeni ufananuzi suala la ushoga
 
Chadema ni chama makini kuna wasomi na kimejaa wanasheria..
Dr. Slaa jitokeze jamvini tuwekeni sawa watanzania, kesho mnaweza kuchukuwa dola watanzania wataka kujua msimamo wenu kama chama litoleeni ufananuzi suala la ushoga
Kuna mashoga ccm ama hakuna?
Mbona hujibu?
 
Back
Top Bottom