Hii hoja haina nguvu kujadiliwa maana hata kama mkikataa kwamba hamna ndoa ya jinsia moja ukweli ni kwamba hao watu wapo hapa kwetu Tanzania. Kwa hiyo ni swala la mda tu. Hii haiwezi kuvunja mahusiano ya kisiasa baina ya vyama hivo. Politics is always a dirty game. Viogozi wetu wa Africa wanapokea pesa chafu sana ambayo haina tofouti na hii ya mashoga. Fuatilia world politics utajua undani wake. Very dirty, people are dying everywhere just because of this politics.Nauliza swali eti ule undugu wa CHADEMA NA CHAMA CHA CONSERVATIVE kinachohimiza tuoane bado upo?na je chadema wanapataje misaada toka chama hichi kama masharti ndo hayo?
Wakisema hivi itabidi tumwombe mbatia agombee kwa tiketi ya CHADEMA.Naona undugu huo utakufa coz yawezekana wakataka mgombea wetu kutoka chadema 2015 awe shoga ili 2pewe vjisenti vya kufanzia kampeni...LOL
we ulieleta mada hii ni shoga vile vile
Nasikia Mfadhili mkuu wa chama hiki ni Mwarabu wa Kempinsk na alishawahi kumnunulia Mwenyekiti wa "CDM" suti Tano. Sijui alimpimaje mwanaume mwenzie! Wakuu hilo ni Jiwe gizani atakayelia nhiii, ujue limempataMbona marafiki siku nyingi na bado urafiki wao umezidi kuwa imara..
Nadhani hata Pro-CDM JF wana mapenzi na Conservative
Ndugu zangu wa JF naomba muamini na muendelee kuamini kuwa Pesa ni mbaya! Jana Mama Nkya wa Tamwa kajikanyaga sana juu ya Ushoga eti lazima mambo kama haya yaongelewe kwenye katiba wananchi waamue wenyewe kama iruhusiwe au la! Yani Mama Nkya anaweka Rekodi kwa wafadhili wake hasa UK kuwa lazima wananchi waamue ila yeye hajui kama ushoga ni jambo baya au uzuri ila wananchi waamue! What a shame! Wanaharakati wetu wako kimagharibi zaidi kutumikia wafadhili ili waishi mjini!
Ndugu zangu wa JF naomba muamini na muendelee kuamini kuwa Pesa ni mbaya! Jana Mama Nkya wa Tamwa kajikanyaga sana juu ya Ushoga eti lazima mambo kama haya yaongelewe kwenye katiba wananchi waamue wenyewe kama iruhusiwe au la! Yani Mama Nkya anaweka Rekodi kwa wafadhili wake hasa UK kuwa lazima wananchi waamue ila yeye hajui kama ushoga ni jambo baya au uzuri ila wananchi waamue! What a shame! Wanaharakati wetu wako kimagharibi zaidi kutumikia wafadhili ili waishi mjini!
Urafiki wa CDM na Conservative ni wa muda mrefu na unadumu, tunaanza kupata wasiwasi sasa hata viongozi wa cdm waweza kuwa ni m*****a ndio maana wanapatana nao. na huyu mama Nkya anajulikana sana ni mnafiki na mtu ambae si wa kuaminika. Hata ndoa kwanza hana iliisha vunjika siku nyingi unategemea nn sasa kutoka kwa mtu huyu