chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
ACT_TANZANIA haiwezi kuchukua dola 2015, ila nahisi kitakua chama kikuu cha upinzani baada ya CHADEMA kupoteza mvuto. Upinzani Tanzania bado sana, siasa mbovu za kuchafuana badala ya hoja. Hawa wahuni MAGAMBA wataendelea kututawala tu hilo halina ubishi japo MAGAMBA nao watafika mwisho. Hii SACOS ya WACHAGA nayo ndo ivo tena inaelekea kufa.
Mi naona alichokiandika huyu mwehu kaijage hamna tofauti na ulichokiandika ww, htimisho ww na yeye wote wehu. Asante