Chama cha ACT-Tanzania kuongoza dola 2015

Chama cha ACT-Tanzania kuongoza dola 2015

Ndoto za mchana. We huna tofauti na wanaoweweseka kuwa CHADEMA itachukua nchi 2015 au wanaosema Membe, Sitta, Lowassa au Makamba watakua marais
 
Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania. ACT kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.
ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.

Act-tanzania kiboko ya ccm na vyama vingine.

Wewe umevirugwa kwa kikubwa mno.
 
Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania. ACT kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.
ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.

ACT haitapata mbunge hata mmoja mwaka 2015 kama kuna mtu anabisha baada ya uchaguzi tutafutane
 
Nshomile unatutia aibu nshomile wenzako. Hata kama ni mpenzi wa ACT, tafakari ukweli wa maandishi yako mbele ya wasomi wenzako wataupokeaje.

huyo sio Nshomile alichakachua jina tu. ukimfuatilia zaidi utagundua kitu.Njoo Kasulu utapata data zake kama ni mtz kweli?
 
Akili yako imetoboka hicho chama cha uchochoroni wewe ndiyo umeona chama cha maana kwako.
 
Act-tanzania kiboko ya ccm na vyama vingine.
Yaani akina mchange, matata, zitto, kitila, mtela, shenzio, nk ndo timu ya ushindi?

Kweli nimeamini hiki ni chama cha walevi na wataka vyeo! Mmejinadi wap hadi mjulikane? Mtandaoni?

Mna misingi mingapi nchini?... we si mwl bali kanjanja... kafie mbali mzoga wako usitunukie sie
 
Mwambieni aachie posho za PAC na mashirika Kama Nssf aje kujenga hilo tawi la ccm
 
Hapo ndipo unaponikera. Wewe hangaika na machadema yako. Achana kabisa na ccm
Huyu mwl kaijage atakuwa na matatizo kashindwa kufundisha vijana anadandia siasa bure kabisa hiyo ccm haijui hata chembe tena akome kabisa.
 
Mwl.Kaijage ukila makande mchana usipige viroba na jani mkuu, ni hatari sana kwa akili yako hivyo afya kwa ujumla.
 
Last edited by a moderator:
Ina maana kuna chama kipya kimekuja leo? coz mm najua ACT ni kijitawi kitengo cha Propaganda pale ofisi za Lumumba. vipi Kaijage ule Ugomvi wako na wenzako kugombania mtaji wa dagaaa mliopewa ili kujiunga na Act umekwisha? maana Act wenzako wanakutuhumu hutoi Marejesho ya mzigo. ha ha ha ha ha Duniani kuna Vituko na Vijituko.

Zitto ameishia fb,mwambie aje huku
 
Back
Top Bottom