Chama cha ACT-Tanzania kuongoza dola 2015

Chama cha ACT-Tanzania kuongoza dola 2015

Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania.

ACT-Tanzania kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.

ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.

Ili uikubali ACT Unahitaji kuwa na akili finyu,akili mgando,akili iliyodumaa akili isiyoweza kupembua na kuchanganua mambo kwa kina.Ukiwa na akili hizo basi ni dhahiri utaiunga mkono ACT,chama ambacho ni tawi la ccm lililoanzishwa kwa nia ya kubomoa upinzani tanzania,kwa bahati mbaya tawi hili hata kabla ya kuua upinzani chenyewe kimeshajifia,ACT imekuja kwa udongo na inarudi kwa udongo
 
MWL Kaijage wa Murusi -Kasulu Kigoma,boresha maisha yako acha ndoto za Alinacha,ACT iko mkoa wa Kigoma tu na muulize Muha yeyeote kirefu cha ACT ,ni wachache sana wanaojua hata kirefu cha ACT achilia mbali maana yake.Hata Kigoma kwenyewe NCCR mageuzi,CCM na CHADEMA ndio vyama vyenye nguvu.Ni vizuri kuishi kwa matumaini,lakini mnahitaji miaka mingine zaidi ya 20 kufikisha chama chenu ilipo CHADEMA.Pia kumbuka mlianza na mguu mbaya wa kuvishambulia vyama vingine vya upinzani na hivyo kupoteza kabisa uelekeo na mvuto.Inatakiwa mtumie nguvu za ziada kushawishi wananchi maneno waliyoaminishwa kuwa ACT ni zao La Lumumba na ni kitengo cha propoganda cha CCM.
Naomba kuwakilisha
 
Hivi huyu mwalimu kaijage ni mwalimu wa shule gani?naona hadhi ya ualimu umeshushwa mpaka watu wasiojielewa wanakuwa walimu,sasa sijui huko shule atafundisha nini,kwa muonekano wake wa kuchambua vitu unaweza ukamuweka na mwanafunzi wake na mwanafunzi akaonekana ni mwalimu kwa mwalimu wake.
 
Mhhhh! Wewe si ndo uliekuwa unawanadi leo unawakana wapuuuzi wenzako?

Hawa CCm ni wabaya sana siku ambayo ACT watataka kuwa cham cha upinzani, wakitaaka kujitenga na baba yao this is what will hapeni yaani nimecheka sana ..........................kumbe hata maccm yanajua kuwa hawa ni majinga kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi wki kwi kwi kwi kwi kwi


ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha h..............................................uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

imenichekesha sana yaani simiu yetu amewageuka kazi kweki kweli
 
ACT_TANZANIA haiwezi kuchukua dola 2015, ila nahisi kitakua chama kikuu cha upinzani baada ya CHADEMA kupoteza mvuto. Upinzani Tanzania bado sana, siasa mbovu za kuchafuana badala ya hoja. Hawa wahuni MAGAMBA wataendelea kututawala tu hilo halina ubishi japo MAGAMBA nao watafika mwisho. Hii SACOS ya WACHAGA nayo ndo ivo tena inaelekea kufa.
 
Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania.

ACT-Tanzania kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.

ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.
Hebu fanya mambo mengine na uache utoto chama kinajulikana JF unasema kitaongoza nchi unazani kuongoza nchi ni sawa na kwenda Bar ukatoa ofa kwa kila mteja?
 
ACT_TANZANIA bado sana! CHADEMA kilikua chama kizuri tatizo kimejaa vijana wahuni na wavuta bange wengi, wanajua matusi tu, hawana busara, hawana hoja kabsa! CHADEMA na MAGAMBA tofauti ya ni ndogo mno (u-chief). Ila wote ni wau.waji na wanafiki tu.
 
Hicho chama kupata hata Madiwani kumi Tanzania nzima itakuwa ni ndoto za alinacha.
 
hapa ndipo huwa napata wasiwasi kama kweli wanajamii forum wote ni great thinkers! mfano huyu wa thread hii! lakn kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo.
 
Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania.

ACT-Tanzania kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.

ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.

Yaan Hapa Nilipo Mbavu Sina ILA HII NDOTO YAKO NAHISI UMEOTA KWA KIDHUNGU NA BINADAMU ASIPOOTA NDOTO KWA LUGHA YAKE HALISI NDIO HUWA INATOKEA NDOTO KAMA HII.
 
Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania.

ACT-Tanzania kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.

ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.

Hawa Ndio MATHINK TANK WA NGALI ACT SIJUI NGALIKIKI MANYI
Mchanga
Chibuda
Tozi
Fata Mkumbo
Sam Magamba
 
ACT Tanzania, Nyie kama kweli mnataka kujua siasa za Tanzania anzeni kukabiliana na CCM ndio mtajua maana ya siasa Tanzania. Unaona hapa umekuja kwenye mtandao tu kuonesha nia ya kuwanyang'anya dola CCM, walewale waliokuwa wanakuunga mkono sasa wanakugeuka.
Hapo ndipo unaponikera. Wewe hangaika na machadema yako. Achana kabisa na ccm
Akili yako imetoboka hicho chama cha uchochoroni wewe ndiyo umeona chama cha maana kwako.
Huyu mwl kaijage atakuwa na matatizo kashindwa kufundisha vijana anadandia siasa bure kabisa hiyo ccm haijui hata chembe tena akome kabisa.

Mna safari ndefu, na kadiri mnavyokua mtaelewa. Kwa sasa kubalini tu kupata msaada wa CCM na mcheze mziki wao wa kudhoofisha upinzani. Walau mtapata vihela vya CCM, na wanachama wasioelewa maana ya upinzani Tanzania.

Hata hivyo, Watanzania tutawakubali kama mtaenda Dodoma, Iringa, Pwani, Mtwara na sehemu nyingine ambazo CCM wamejijenga. Tutawakubali tukiona ACT Tanzania ni chama cha Checks and Balances, kusimamia utawala bora kwa wale wenye mamlaka juu ya rasilimali zetu.
 
Back
Top Bottom