Mwl.Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 279
- 64
- Thread starter
- #41
ACT-TANZANIA inawaumiza vichwa kwani kuna vyama vitapotea kwenye medani za siasa!! ACT wimbo wa Taifa ni Uzalendo.
ACT-TANZANIA inawaumiza vichwa kwani kuna vyama vitapotea kwenye medani za siasa!! ACT wimbo wa Taifa ni Uzalendo.
Sasa kiongozi mbona hata katiba hamna? Hata kama ni upumbavu msifanye peupe hivyo bana.Haya watabiri mazwazwa ila mziki wa ACT mtaufahamu vizuri ni hizo saccos zenu za kichaga tutaona mwisho wake upi?
Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania.
ACT-Tanzania kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.
ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.
Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania.
ACT-Tanzania kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.
ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.
modes fungueni "JUKWAA LA MATAHIRA"
Kumbe ni chama cha vichaa!!!!
Mkuu huyu baba yako au mjomba wako.
ACT-TANZANIA inawaumiza vichwa kwani kuna vyama vitapotea kwenye medani za siasa!! ACT wimbo wa Taifa ni Uzalendo.
ACT ni ndio timu ya Rede ya taifa? Kocha wenu ni nani? Mnacheza ligi daraja la ngapi?
Hapo ndipo unaponikera. Wewe hangaika na machadema yako. Achana kabisa na ccm