Chama cha ACT-Tanzania kuongoza dola 2015

Chama cha ACT-Tanzania kuongoza dola 2015

Hiki Chama nakisikia na kukisoma Jf Nikitoka humu sisikii chochote kuhusu ACT.......
 
maumivu yao cc 2nasonga mbele kazi yetu inaendele wao ni mabingwa wa uongo ma2c uzushi cc ni wazalendo 2naongozwa na mikakati ye2 ha2na shida ya kuzungumza yao wao waendelee kuidhibiti ACT but kac ya act aizuiliki wakumbuke alianza nccr cuf cdm wote zama zenu zimekwisha sasa wana taifa kwanza act wanachukua kuleta mabadiliko ya kweli ACT NDIO HABARI YA TANZANIA NA BADO
 
Act ambacho kinaongozwa na akina Mchange (mawakala wa ccm hao). watz sio wajinga.
 
Chama kipya cha ACT-TANZANIA ndicho chama ambacho kimebaki tumaini la Tanzania.

ACT-Tanzania kitashinda kwa kishindo chaguzi zijazo kuanzia serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2015,ACT TANZANIA ndio timu ya Taifa iliyosheheni wachezaji mahiri kutoka vilabu vyote nchini.

ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA
TAFAKARI CHUKUA HATUA.

Unaumwa wewe, hujui hata unachoandika
 
Hizi thread zingine mods muwe mnazipiga chini tu.majigambo hakuna hata vigezo anavyovitoa ili kusapoti asemacho.hovyooooooo!!!!!!
 
Daaaaah! Mnajitekenya na kujichekesha wenyewe,endeleeni kuota
 
Waliwahi kusema kuwa CCM option waliyosalia nayo ni kubalili jina la chama ili wahamie huko
 
ccm = act, kwahiyo ikishinda ccm 2015 ni sawa tu na imeshinda act!
 
Haaaa haaaaa! Tanzania Tanzania Tanzania nchi yangu nakupenda Mungu akupe fanaka japo......
 
Back
Top Bottom