Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Huu uzi hauna mashiko. Mleta uzi sidhani kama ni underage kid.Si sababu wanajua hakuna namna mods waruhusu hilo?
wengi wanajua walisha wahi kufanya mambo kama hayo
ID zaidi ya moja imekua kawaida. Members kukutana nje ya JF ipo
Members kufatilia maisha ya members wengine na kuwa-harass
hadi members hao wanachange ID ipo pia, na itaendelea kuwepo.
I am just happy for Husninyo, ameamua kuchukua hatua.
Najua atawataja tu, kama sio katika thread hata kwa PM
au Sms au hata live. but sooner or later watajulikana.
It was nice meeting you Husninyo, I will miss you so much :hug:
Ni mtu mzima na sharubu au maziwa yameshalala zamaani.
S/he is a consensual adult na anajua anachokifanya na yuko responsible
na consequences za anachokifanya. Kulialia na kufungua uzi ni kutafuta
tu sympathy kwa wene mioyo kama yake. Kama anaona kaonewa aende
kwene vyombo vya dola uone kama atakua na kesi.