Challenge ya kusave pesa UTT

Challenge ya kusave pesa UTT

Miguel Felix Gallardo

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
2,115
Reaction score
3,811
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge.

Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at 40.Life starts at 40.

Baada ya comulative interest za miaka kama 15 hivi.Ntakuwa na uwezo wa kutimiza ndoto zangu za kwenda kuizunguka Dunia.Mimi ni mpenzi wa adventure.

Pia kila mwisho wa mwezi nimejiwekea ka utaratibu ka kutupia vilaki kadha huko UTT.

Pia kwa umri huo ntakuwa naitwa Daddy😀😀😀hapo chacha ni mwendo wa kula na kunywa.Na kwa kiasi fulani ntawaachia wanangu kaurithi na wenyewe waendeleze nilipoishia.

Faida ya UTT pesa yako inazaa.
Benki pesa yako haizai.

Faida ya UTT pesa haina makato.
Benki pesa ina katwa charges za mwezi na kila ukitoa.

Faida ya UTT pesa yako ukihitaji unapata ndani ya siku 3 kwa LIQUID FUND na kwa BOND FUND unapata ndani ya siku 10.
Benki pesa unapata muda wowote ila kuna kiasi huwezi kutoa mpaka maelezo ya kueleweka.

Faida za UTT pesa utatoa hata yote hawana kikwazo na UTAAMUA MWENYEWE WAKUWEKEE KATIKA ACC. GANI YA BENKI.

FAIDA YA UTT sio rahisi kutoatoa pesa hovyo kwasababu pesa inatolewa tu ndani ya siku za kazi.
Benki ni rahisi kutoatoa pesa hovyo kwa wale wasio na nidhamu ya pesa.

#UTT ndio mkombozi kwa wachumi na wajanja.

Wakulungwa karibuni kwenye Challenge!!!!

📌Kujiunga Piga *150*82# ufungue account,bado hujachelewa,anza kujiwekeza leo!!!

Ingia playstore download app ya UTT AMIS.

Vijana future yenu inategemea na leo yenu.Mbususu na kulana kimasihara sio dili.Amkeni!!!

"Whenever i see an opportunity,i never think twice"

#M.O.B NIGGERS!!!

#Heshima ya mwanaume pesa.

#NO UTT,NO FUTURE.

📍📍📍CHALLENGE ISAMBAE KATIKA MITANDAO YOTE VIJANA WAAMKE.
 
Faida ya UTT pesa yako inazaa.
Benki pesa yako haizai.

Faida ya UTT pesa haina makato.
Benki pesa ina katwa charges za mwezi na kila ukitoa.

Faida ya UTT pesa yako ukihitaji unapata ndani ya siku 3 kwa LIQUID FUND na kwa BOND FUND unapata ndani ya siku 10.
Benki pesa unapata muda wowote ila kuna kiasi huwezi kutoa mpaka maelezo ya kueleweka.

Faida za UTT pesa utatoa hata yote hawana kikwazo na UTAAMUA MWENYEWE WAKUWEKEE KATIKA ACC. GANI YA BENKI.

FAIDA YA UTT sio rahisi kutoatoa pesa hovyo kwasababu pesa inatolewa tu ndani ya siku za kazi.
Benki ni rahisi kutoatoa pesa hovyo kwa wale wasio na nidhamu ya pesa.

#UTT ndio mkombozi kwa wachumi na wajanja.
 
Kuweka akiba ni muhimu ,ila bata nitakula mda wowote bwashee , mpaka siku nikipumulia ndio itakua mwisho labda
Kupanga ni kuchagua ila nakushauri kama kweli unapiga tungi daily😀😀😀 kuna mfuko wa UTT unaitwa wekeza maisha hapo wanatoa na bima ya maisha.Ikikupendeza weka akiba humo huwenda muda unahitaji FIGO MPYA hiyo pesa itakusavu🤝
 
Kupanga ni kuchagua ila nakushauri kama kweli unapiga tungi daily😀😀😀 kuna mfuko wa UTT unaitwa wekeza maisha hapo wanatoa na bima ya maisha.Ikikupendeza weka akiba humo huwenda muda unahitaji FIGO MPYA hiyo pesa itakusavu🤝
Kwamba kula bata nikupiga tu tungi?
 
Faida ya UTT pesa yako inazaa.
Benki pesa yako haizai.

Faida ya UTT pesa haina makato.
Benki pesa ina katwa charges za mwezi na kila ukitoa.

Faida ya UTT pesa yako ukihitaji unapata ndani ya siku 3 kwa LIQUID FUND na kwa BOND FUND unapata ndani ya siku 10.
Benki pesa unapata muda wowote ila kuna kiasi huwezi kutoa mpaka maelezo ya kueleweka.

Faida za UTT pesa utatoa hata yote hawana kikwazo na UTAAMUA MWENYEWE WAKUWEKEE KATIKA ACC. GANI YA BENKI.

FAIDA YA UTT sio rahisi kutoatoa pesa hovyo kwasababu pesa inatolewa tu ndani ya siku za kazi.
Benki ni rahisi kutoatoa pesa hovyo kwa wale wasio na nidhamu ya pesa.

#UTT ndio mkombozi kwa wachumi na wajanja.
Inategemea bank umefungua account Gani, sio kila account haizai..,nadhani na ww unalijua Hilo.
 
Faida ya UTT pesa yako inazaa.
Benki pesa yako haizai.

Faida ya UTT pesa haina makato.
Benki pesa ina katwa charges za mwezi na kila ukitoa.

Faida ya UTT pesa yako ukihitaji unapata ndani ya siku 3 kwa LIQUID FUND na kwa BOND FUND unapata ndani ya siku 10.
Benki pesa unapata muda wowote ila kuna kiasi huwezi kutoa mpaka maelezo ya kueleweka.

Faida za UTT pesa utatoa hata yote hawana kikwazo na UTAAMUA MWENYEWE WAKUWEKEE KATIKA ACC. GANI YA BENKI.

FAIDA YA UTT sio rahisi kutoatoa pesa hovyo kwasababu pesa inatolewa tu ndani ya siku za kazi.
Benki ni rahisi kutoatoa pesa hovyo kwa wale wasio na nidhamu ya pesa.

#UTT ndio mkombozi kwa wachumi na wajanja.
Inaruhusiwa kufungua mifuko zaidi ya mmoja?
 
Back
Top Bottom