Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Kwako Kaka
JINSI GANI TUTAZUIA MAFISADI WA SASA NA WOTE WAJAO KWA ASILI YETU HII YA UBINADAMU WA KUPENDA FEDHA.
Kichwa cha habari chajieleza;
Moja ya vitu ambavyo huwa vinanichanganya nikifikiria future ya Tanzania ni jinsi gani tutakavyoepukana kuwa na viongozi walafi.Ubepari unasababisha kuwa greedy, unasababisha kuwa na tamaa ya fedha na ubepari unasababisha mtu kutokukubali kurudi nyuma na kuangalia mbele au kuzidisha mafanikio. Hii ndio ASILI ya binadamu halisi.
Rostam na Lowassa ambao jamii ya kitanzania imewapa majina lukuki kutokana na tabia zao ni mfano mzuri sana wa viongozi ambao ni walafi wa fedha kutokana na mfumo uliopo ambao hauwazuii viongozi wa aina hiyo kuwa walafi au kutumia makampuni yao kujipatia fedha za kazi za serikali.Rostam, Lowassa tatizo lao ni kutumia nafasi zao au influence zao kupata nafasi au fursa isiyo sawa, wengi wa aina hii ya Viongozi hawa hujipatia tender isivyo halali hivyo kunyima fursa sawa kwa wote. Wakati Manji na Shubash hutumia viongozi wengine, lakini ni tabia iliyokithiri kwa watanzania wengi kupata tender isivyo halali ni tabia iliyozoeleka na kwa wabishi poleni! Rostam mbali ya kuwa mwanasiasa lakini wafanyabiashara wengi wanamuhesabu ni mjasiriamali mzuri mno ambapo hata asingekuwa kwenye ulingo wa siasa bado angekuwa tajiri, wahindi wengi wana caliber hii, tukubali tu watanzania wenye caliber hii ni wachaga huku wengine wengi hawana ndoto wala utaalamu wa biashara za ndani na nje. Ni akili zetu hizi zinawafanya umoja wa wanawake Tanzania kutoa kibali kwa Manji kuwajengea jengo lile la zain ambalo hata wao walikuwa na uwezo wa kufanya hivyo! Au Lowassa kuwaamsha UVCCM na kutumia kibali chao kujenga jengo lile! These guys are nothing but really wajanja wakubwa. Na ujinga wa watanzania wengi wamekuwa wakitegemea hawa jamaa kuwaonea huruma hili hali wao wamelala! What a joke! Ndio hii inapeleka watanzania kuwalaumu akina Rostam juu ya Dowans na sio TANESCO….. asili ile ile ye kutokukubali kuwa ujinga wetu ndio mtaji wao!
Kinachonitatiza zaidi ni namna hawa viongozi huwa wazuri sana, kwa wasiojua historia sifa ya Rostam bungeni ni kubwa na ni moja ya wabunge wachache ambao huwa hawana wapinzani kwenye kujenga hoja, Rostam anaongea Aden Rage haoni ndani. Kuna mwana JF mmoja nilimtania juzi na kusema huyu RA mnamsema mtu lakini wengi wenu hamuijui historia yake bungeni , Mwaka 2001 ni RA pekee aliyepinga mabadiliko ya kumi ya katiba yanayompa mamlaka makubwa rais, 1999 ndiye aliyepinga kesi ya uhani ya CUF wale wana cuf hamsini, mwaka 1997 ndiye pekee aliyekataa miswada ya madini kupitishwa na akaonya vizazi vijavyo vitahukumu bunge hilo, Rostam huyu ndiye aliyepambana na Salmin amour aliyetaka kubadili katiba ya kumuongezea muda madarakani. Ni rostam huyu 1994 aliyezuia mifumuko ya bidhaa za zanzibar, 1999 Rostam. 2004 Rostam alizuia shilingi kwenye wizara ya uchumi na mipango iliyokuwa chini ya Kagoda. Mwenye record ya namna hii bunge hili ni ngumu kumpata, suddely huyu jamaa kawa MKIMYA TENA SANA!
What happened with this oustanding records?? …nimechoka!
Nani anayetokea Arusha asiyejua utajiri wa familia ya Lowassa , mbuzi na ng'ombe wangapi huchinjwa kila x-mass? Lowassa anatokea familia tajiri. Nani leo atapinga uwezo wa ufanyaji kazi wa Lowassa lets just be fair on this.
Siwasemi hao watu kuwasafisha nataka tupate picha kuwa kwanza tunawatengeneza mafisadi kwa itikadi zetu na tabia zetu, pili hakuna system ya kuwazuia viognozi wa namna hii kuiba kama wanafanya hivyo.
Challenge mbili ninazozitoa ni what makes once was good leader to be corrupt, and what about those who are not yet in leadership but they are doing biashara? Swali la kizushi…tukisema fulani fisadi na kumbe sio ghafla akawa fisadi kwa sababu jamii ndiyo inamwona hivyo nani wa kulaumiwa?? ..sipati picha… jamii yetu ime-lack kitu fulani umbea na tetesi zimetawala na tangible evidence na kuchukua hatua ni mlima kwetu.
Swali langu linaelekezwa kwa wajasiriamali wengine kama Mbowe, suppose leo Slaa anakuwa Rais mbowe anaweza kuwa waziri mkuu au waziri tu , je atakubali biashara zake zife?? Mahoteli yake, makampuni yake n.k atafanyaje ili haya makampuni yawe na fair competitions na makampauni mengine. At least hawa mafisadi wa sasa wanatoka familia ambazo zinaweza kujustify utajiri wao, je wale wanaotoka familia masikini, tutafanyaje kuwazuia wasipate utajiri wa haraka, kutotumia majina ya ndugu zao kwenye makampuni yatakayovuna tenders mbali mbali? Namsema mbowe kwanza nikifurahia ujasiriamali wake japo ana madeni ya NSSF n.k hilo kwa sisi wafanyabiashara ni kitu cha kawaida, lakini ghafla anakuwa Prime minister , jamani tuwe wakweli na ushabiki tuuweke pembeni hatananilii, I mean atashindwa kulipa deni tena, au kwa lugha nyingine hawezi kupiga pande dogo tu deni likalipwa au kwa sababu mshahara utakuwa umeongezeka? maana hata hawa akina RA na EL wanamishahara mikubwa tu! au standard gani tunatumia kuwa huyu ATAKUWA SAFI NA huyu atakuwa FISADI? kwa macho??
Mbowe ameonyesha ni mjasiriamali mzuri, je ni system gani au kitu gani kinachoweza kutuhakikishia kuwa HATAWEZA kuwa Rostam au Lowassa mwingine hata kama ni kiongozi mzuri?
Nahamishia swali kwako msomaji, kaa chini tafakari angalia uzuri na utamu wa fedha , wewe ni kiongozi na una makampauni yako , uwezo wa kupata kazi unao na ukapata fedha zaidi……. Unafikiri ni KITU GANI KITAKUZUIA usitake unachoona ni chema kukipata? Ndio leo mnamlaumu mkapa wakati hakuna mechanism ya kumzuia kuiba? Na akiiba hashtakiwi? Kwani nani asiyejua SONGAS ni ya Kikwete na atasemwa baada ya kuondoka madarakani! Jamani ubinadamu na dhambi ni mapacha! We are fallible creatures no one will dare to say he is smart if nothing hinders him to enjoy his/her freeness ..fikiria sasa kama kungekuwa hakuna ukimwi! Haya hupo sasa….
Je leo hii tunapowahukumu akina RA tunatumia sheria, au utaratibu tuliojiwekea au DHAMIRA NA AKILI ZA UUNGU NA UPOLE zilizowajaa wengi? Ok! Kwa jibu lako unafikiri tuna mechanism gani ya kuzuia hili lisitokee kwa wapinzani wafanyabiashara?? Usimseme Nyerere , Nyerere alikuwa tofauti na tabia zetu na ndio maana soon will be anothe saint! Nyerere failed by thinking everyone is thinking like him...we need system or something , please tell me.
Kumbukeni hulka za binadamu haziko kwenye dini,dini haiwezi kum-control mtu wala eti dhamiri…!!! I need clear and concie system ambayo itakuwepo kuwazuia wafanyabiashara ambao ni viongozi kupata tender unfairly.
Mimi mtiifu
Waberoya
JINSI GANI TUTAZUIA MAFISADI WA SASA NA WOTE WAJAO KWA ASILI YETU HII YA UBINADAMU WA KUPENDA FEDHA.
Kichwa cha habari chajieleza;
Moja ya vitu ambavyo huwa vinanichanganya nikifikiria future ya Tanzania ni jinsi gani tutakavyoepukana kuwa na viongozi walafi.Ubepari unasababisha kuwa greedy, unasababisha kuwa na tamaa ya fedha na ubepari unasababisha mtu kutokukubali kurudi nyuma na kuangalia mbele au kuzidisha mafanikio. Hii ndio ASILI ya binadamu halisi.
Rostam na Lowassa ambao jamii ya kitanzania imewapa majina lukuki kutokana na tabia zao ni mfano mzuri sana wa viongozi ambao ni walafi wa fedha kutokana na mfumo uliopo ambao hauwazuii viongozi wa aina hiyo kuwa walafi au kutumia makampuni yao kujipatia fedha za kazi za serikali.Rostam, Lowassa tatizo lao ni kutumia nafasi zao au influence zao kupata nafasi au fursa isiyo sawa, wengi wa aina hii ya Viongozi hawa hujipatia tender isivyo halali hivyo kunyima fursa sawa kwa wote. Wakati Manji na Shubash hutumia viongozi wengine, lakini ni tabia iliyokithiri kwa watanzania wengi kupata tender isivyo halali ni tabia iliyozoeleka na kwa wabishi poleni! Rostam mbali ya kuwa mwanasiasa lakini wafanyabiashara wengi wanamuhesabu ni mjasiriamali mzuri mno ambapo hata asingekuwa kwenye ulingo wa siasa bado angekuwa tajiri, wahindi wengi wana caliber hii, tukubali tu watanzania wenye caliber hii ni wachaga huku wengine wengi hawana ndoto wala utaalamu wa biashara za ndani na nje. Ni akili zetu hizi zinawafanya umoja wa wanawake Tanzania kutoa kibali kwa Manji kuwajengea jengo lile la zain ambalo hata wao walikuwa na uwezo wa kufanya hivyo! Au Lowassa kuwaamsha UVCCM na kutumia kibali chao kujenga jengo lile! These guys are nothing but really wajanja wakubwa. Na ujinga wa watanzania wengi wamekuwa wakitegemea hawa jamaa kuwaonea huruma hili hali wao wamelala! What a joke! Ndio hii inapeleka watanzania kuwalaumu akina Rostam juu ya Dowans na sio TANESCO….. asili ile ile ye kutokukubali kuwa ujinga wetu ndio mtaji wao!
Kinachonitatiza zaidi ni namna hawa viongozi huwa wazuri sana, kwa wasiojua historia sifa ya Rostam bungeni ni kubwa na ni moja ya wabunge wachache ambao huwa hawana wapinzani kwenye kujenga hoja, Rostam anaongea Aden Rage haoni ndani. Kuna mwana JF mmoja nilimtania juzi na kusema huyu RA mnamsema mtu lakini wengi wenu hamuijui historia yake bungeni , Mwaka 2001 ni RA pekee aliyepinga mabadiliko ya kumi ya katiba yanayompa mamlaka makubwa rais, 1999 ndiye aliyepinga kesi ya uhani ya CUF wale wana cuf hamsini, mwaka 1997 ndiye pekee aliyekataa miswada ya madini kupitishwa na akaonya vizazi vijavyo vitahukumu bunge hilo, Rostam huyu ndiye aliyepambana na Salmin amour aliyetaka kubadili katiba ya kumuongezea muda madarakani. Ni rostam huyu 1994 aliyezuia mifumuko ya bidhaa za zanzibar, 1999 Rostam. 2004 Rostam alizuia shilingi kwenye wizara ya uchumi na mipango iliyokuwa chini ya Kagoda. Mwenye record ya namna hii bunge hili ni ngumu kumpata, suddely huyu jamaa kawa MKIMYA TENA SANA!
What happened with this oustanding records?? …nimechoka!
Nani anayetokea Arusha asiyejua utajiri wa familia ya Lowassa , mbuzi na ng'ombe wangapi huchinjwa kila x-mass? Lowassa anatokea familia tajiri. Nani leo atapinga uwezo wa ufanyaji kazi wa Lowassa lets just be fair on this.
Siwasemi hao watu kuwasafisha nataka tupate picha kuwa kwanza tunawatengeneza mafisadi kwa itikadi zetu na tabia zetu, pili hakuna system ya kuwazuia viognozi wa namna hii kuiba kama wanafanya hivyo.
Challenge mbili ninazozitoa ni what makes once was good leader to be corrupt, and what about those who are not yet in leadership but they are doing biashara? Swali la kizushi…tukisema fulani fisadi na kumbe sio ghafla akawa fisadi kwa sababu jamii ndiyo inamwona hivyo nani wa kulaumiwa?? ..sipati picha… jamii yetu ime-lack kitu fulani umbea na tetesi zimetawala na tangible evidence na kuchukua hatua ni mlima kwetu.
Swali langu linaelekezwa kwa wajasiriamali wengine kama Mbowe, suppose leo Slaa anakuwa Rais mbowe anaweza kuwa waziri mkuu au waziri tu , je atakubali biashara zake zife?? Mahoteli yake, makampuni yake n.k atafanyaje ili haya makampuni yawe na fair competitions na makampauni mengine. At least hawa mafisadi wa sasa wanatoka familia ambazo zinaweza kujustify utajiri wao, je wale wanaotoka familia masikini, tutafanyaje kuwazuia wasipate utajiri wa haraka, kutotumia majina ya ndugu zao kwenye makampuni yatakayovuna tenders mbali mbali? Namsema mbowe kwanza nikifurahia ujasiriamali wake japo ana madeni ya NSSF n.k hilo kwa sisi wafanyabiashara ni kitu cha kawaida, lakini ghafla anakuwa Prime minister , jamani tuwe wakweli na ushabiki tuuweke pembeni hatananilii, I mean atashindwa kulipa deni tena, au kwa lugha nyingine hawezi kupiga pande dogo tu deni likalipwa au kwa sababu mshahara utakuwa umeongezeka? maana hata hawa akina RA na EL wanamishahara mikubwa tu! au standard gani tunatumia kuwa huyu ATAKUWA SAFI NA huyu atakuwa FISADI? kwa macho??
Mbowe ameonyesha ni mjasiriamali mzuri, je ni system gani au kitu gani kinachoweza kutuhakikishia kuwa HATAWEZA kuwa Rostam au Lowassa mwingine hata kama ni kiongozi mzuri?
Nahamishia swali kwako msomaji, kaa chini tafakari angalia uzuri na utamu wa fedha , wewe ni kiongozi na una makampauni yako , uwezo wa kupata kazi unao na ukapata fedha zaidi……. Unafikiri ni KITU GANI KITAKUZUIA usitake unachoona ni chema kukipata? Ndio leo mnamlaumu mkapa wakati hakuna mechanism ya kumzuia kuiba? Na akiiba hashtakiwi? Kwani nani asiyejua SONGAS ni ya Kikwete na atasemwa baada ya kuondoka madarakani! Jamani ubinadamu na dhambi ni mapacha! We are fallible creatures no one will dare to say he is smart if nothing hinders him to enjoy his/her freeness ..fikiria sasa kama kungekuwa hakuna ukimwi! Haya hupo sasa….
Je leo hii tunapowahukumu akina RA tunatumia sheria, au utaratibu tuliojiwekea au DHAMIRA NA AKILI ZA UUNGU NA UPOLE zilizowajaa wengi? Ok! Kwa jibu lako unafikiri tuna mechanism gani ya kuzuia hili lisitokee kwa wapinzani wafanyabiashara?? Usimseme Nyerere , Nyerere alikuwa tofauti na tabia zetu na ndio maana soon will be anothe saint! Nyerere failed by thinking everyone is thinking like him...we need system or something , please tell me.
Kumbukeni hulka za binadamu haziko kwenye dini,dini haiwezi kum-control mtu wala eti dhamiri…!!! I need clear and concie system ambayo itakuwepo kuwazuia wafanyabiashara ambao ni viongozi kupata tender unfairly.
Mimi mtiifu
Waberoya