Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
- Thread starter
- #41
If you read between the lines you can sense solid point for the betterment of our nation.
Yes we need a transpearent system to fight corruption.
Its a scholarly thread. Ni ya aliyekaa chini na kufikiri kwa akili sana, kwangu ni nzuri sana!
Asanteni sana, mmeifanya siku yangu kuwa nzuri nawapa zawadi ya article hii msome na kutafakari niliposoma nilisj=htuka na kusema ni RA huyu huyu, nikafanya upelelezi wangu na kugundua we have serious problem
Nchi hii haiko chini ya kukundi cha wanasiasa fulani tu
waliodhani waberoya kakurupuka na wengine kutaka ushahidi huu hapa
http://www.raiamwema.co.tz/news.php?d=599