PostGE2025 Chalamila: Watu wamejengewa chuki na nchi yao

PostGE2025 Chalamila: Watu wamejengewa chuki na nchi yao

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
515
Reaction score
916
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kuna watu wanawajengea chuki Watanzania na nchi yao ambayo tumeona kuna athari zimejitokeza tena kwa vijana wadogo sana.

Albert Chalamila amezungumza hayo leo na Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji #NIT

 
on saturday i got a little accident , lost my stuffs. so am kindly offline _20251203_082736_0000.png
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kuna watu wanawajengea chuki Watanzania na nchi yao ambayo tumeona kuna athari zimejitokeza tena kwa vijana wadogo sana.

Albert Chalamila amezungumza hayo leo na Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji #NIT

Hatuchukii nchi tunachukia utawala wa CCM wa utekaji, wizi wa mali za umma, wizi wa kura, unyanyasaji na ufamilia kwenye uongozi
 
Hatuchukii nchi tunachukia utawala wa CCM wa utekaji, wizi wa mali za umma, wizi wa kura, unyanyasaji na ufamilia kwenye uongozi
Tell them.. naona wameanza kutafuta kwa kujificha mapema maana muda umeisha nilishawaambia muda sio rafiki sasa muda umeisha narudia tena muda umeisha..
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kuna watu wanawajengea chuki Watanzania na nchi yao ambayo tumeona kuna athari zimejitokeza tena kwa vijana wadogo sana.

Albert Chalamila amezungumza hayo leo na Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji #NIT




CCM ndo waliojenga hii chuki na si wengine. Wamejimilikisha nchi kama yao pekee
 
Tumejwngewaje chuki? Mjamzito anaenda hospitali kujifungua anafia kwenye kituo cha afya kisa hana pesa, unaenda kupata huduma kwenye ofisi ya umma unazungushwa mpaka utoe rushwa alafu muda huo huo kuna mheshimiwa anajamba jamba tu kwenye li V8 anasema kama unaona nchi hii ina tozo nyingi hamia burundi, hivi hapo kweli utashindwa kuichukia nchi hii??
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kuna watu wanawajengea chuki Watanzania na nchi yao ambayo tumeona kuna athari zimejitokeza tena kwa vijana wadogo sana.

Albert Chalamila amezungumza hayo leo na Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji #NIT

Too late, siku zote huwa unatoa kauli za hovyo za kibabe leo ndiyo ujifanye una busara. Shangazi yenu manyonyo bado anaendeleza kauli za kibabe, bado kipofu haoni red lights mbele na tunataka aendelee hivyohivyo ili tunapomuwekea mitego yetu iwe ni haki kabisa.
 
Mwambie Muda umeisha December 9 zimebaki siku chache sana.. too late to apologise no one is ready to listen to your rubbish nonsense
Kila la kheri tunazika au tunasafirisha?
 
Back
Top Bottom