PostGE2025 Chalamila: Watu wamejengewa chuki na nchi yao

PostGE2025 Chalamila: Watu wamejengewa chuki na nchi yao

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kuna watu wanawajengea chuki Watanzania na nchi yao ambayo tumeona kuna athari zimejitokeza tena kwa vijana wadogo sana.

Albert Chalamila amezungumza hayo leo na Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji #NIT

Ndugu Chalaboy chuki na uchochezi chanzo ni kwa Mukuuu,Mo29 alimwaga kiwashio cha moto kwenye makaa ya mawe,na kwenye D9 amechanganya viwashio vya moto na vilipuzi vya aina zote penye moto wa gesi a.k.a kwenye ili nishati safi inayopigiwa mno debe.Sasa binafsi sielewi kwa mkorogo wote huo je ngozi itaambulia kansa ama moto utawaka au utazima!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kuna watu wanawajengea chuki Watanzania na nchi yao ambayo tumeona kuna athari zimejitokeza tena kwa vijana wadogo sana.

Albert Chalamila amezungumza hayo leo na Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji #NIT

Hatuna chuki na nchi yetu, bali tunachuki na viongozi wanaoingia madarakani bila ridhaa ya umma. Asitake kupotosha wakati ukweli unafahamika. Viongozi wezi wa kura wasijifanye wao ndio nchi yetu. Viongozi wanaotengeneza makundi ya watekaji na wafiraji hawawezi kutulazimisha tuwapende kwa kujivika koti la nchi.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kuna watu wanawajengea chuki Watanzania na nchi yao ambayo tumeona kuna athari zimejitokeza tena kwa vijana wadogo sana.

Albert Chalamila amezungumza hayo leo na Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji #NIT

No, chuki ya wananchi sio dhidi ya nchi yao. Chuki yao ni dhidi ya Serikali. Serikali ya CCM ndiyo imewajengea hiyo chuki.
 
Hao watu walioulizwa itakuwa watu hewa
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema kuna watu wanawajengea chuki Watanzania na nchi yao ambayo tumeona kuna athari zimejitokeza tena kwa vijana wadogo sana.

Albert Chalamila amezungumza hayo leo na Wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji #NIT


Hakuna mwananchi anaeichukia nchi yake in this case Tanzania : wananchi wanawachukia viongozi na serikali wanayoiongoza kwasababu ya ufisadi wao na sio sahihi kuwa wanaichukia nchi yao.
 
Tatizo linaendelea kuwepo wanaotakiwa kuchunguzwa ndio wanaendelea kutoa majibu sasa sielewi hata hiyo Tume itawezaje kufanya kazi ikiwa watuhumiwa wapo madarakani watawahoji watu wakiwa kwenye ofisi zao...
 
Back
Top Bottom