Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaagiza watendaji wa serikali kuangalia upya utaratibu wa kuingia katika nyumba za wageni maarufu kama gesti ikiwezekana kuwepo na vitambulisho ili kujihakikishia usalama zaidi.
Chalamila amesema hayo leo Januari 15, 2024 jijini Dar es Salaam kwenye kikao na watendaji wa Serikali kuhusu magonjwa ya mlipuko.
Amesema "Muda mwingine tembeeni hadi usiku kukagua madaftari kukagua watu waliongia, kuna vigesti vinatumika kama vichocheo vya uhalifu."
Chalamila amesema hayo leo Januari 15, 2024 jijini Dar es Salaam kwenye kikao na watendaji wa Serikali kuhusu magonjwa ya mlipuko.
Amesema "Muda mwingine tembeeni hadi usiku kukagua madaftari kukagua watu waliongia, kuna vigesti vinatumika kama vichocheo vya uhalifu."