Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,922
- 6,556
RC Chalamila leo amemwambia Rais Samia kwamba Ridhiwani hamiliki vituo vya mafuta na $750,000 oil tankers.
Lete habari kamili sio vipande vipande.....inaonekana kulikuwa na maswali ndio akajibu.RC Chalamila leo amemwambia Rais Samia kwamba Ridhiwani hamiliki vituo vya mafuta na $750,000 oil tankers.
kwani kama anamilikiRC Chalamila leo amemwambia Rais Samia kwamba Ridhiwani hamiliki vituo vya mafuta na $750,000 oil tankers.
Yeye ndio msemaji wake?RC Chalamila leo amemwambia Rais Samia kwamba Ridhiwani hamiliki vituo vya mafuta na $750,000 oil tankers.
Hakuna tatizo.kwani kama anamiliki
Kwanza alikuwa anaongea kuhusu mtoto wa Samia,labda,Abdul,jinsi alivyosingiziwa kuwa simple.Ana tuamishq kutoka kwa Abdul kwenda kwa Riz1
Mafisadi wa mali za ummaRC Chalamila leo amemwambia Rais Samia kwamba Ridhiwani hamiliki vituo vya mafuta na $750,000 oil tankers.
Awadanganye wapumbavu wenzake.RC Chalamila leo amemwambia Rais Samia kwamba Ridhiwani hamiliki vituo vya mafuta na $750,000 oil tankers.