Chalamila aanza kwa kishindo! Atumia usafiri wa bajaj

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
Anatafuta Kiki kwa pikipiki.

Uchawa, unafiki na kujipendekeza.
 
Sound as police state!,means yeye yupo above traffic laws!,Tanzania nchi ya vituko sana, kesho RC akitoa tamko la kuvaa helmet akiwa ignored ajue yeye ndiye aliyeanza kunajisi sheria
Hivi kumbe wwe kutoka Kanda ilee! Sasa Bajaji na helmet wapi na wapi!? Au chuki zako tu kwa Chalamila zinakusumbua!?
 
Achape Kazi Dar Es Salaam Ndiyo Tanzania Pia Ajue Akifanya Mchezo Anapoteza Tumbua




Adam Malima Kazi Anayo Morogoro Pagumu Kuliko Dar Hasa Akikumbuka Kuporwa Mjegeje SMG, Ndiyo Maana Kuna Serikali Long Time Ikaweka Vikosi Hatari Vya JW Mzinga, Ngerengere, Komando
umesahau pangawe, chita, sanga sanga ,
 
Chalamila amekuwa center attention ya macho ya wengi kwa sasa sababu ameteuliwa kuwa Mkuu Wa mkoa jiji LA kibiashara LA Dar na wengi wataongea mengi kuhusiana na cho chochote kile atakachokuwa anafanya hata akitema mate kwa sasa INA kuwa ni habari.
 
Ila mama kawapatia sana watu wa Dar, wanapenda sana mipasho ndio maana mama kagundua ni kuwaletea watu wa mipasho na makeke mengi. Simnamkumbula makonda vs kunenge. Makala vs Chalamila
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.View attachment 2624495
Maigizo hayaishi
 
Waziri mkuu wa Uingereza na RC nani mwenye ulinzi mkali? Sunak alipigwa faini kwa kutokuvaa mkanda.
Hivi wwe kumbe unavalishwa helmet hadi kwenye Bajaji!? Helemet ni kwenye Bodaboda na si Bajaji! Kwa hiyo Chalamila yuko right!!
 
Wewe acha tu, siku hizi naona hata aibu kuingia JM! Jamvi letu pendwa limekuwa kama kokoro, linazoa tu!
Upo sahihi, Mwalimu. Nadhani Moderators wanaelemewa na kazi, tuwaombee wawe na nguvu ya kuimudu kazi vilivyo.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao.

Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao.

Akiwa ndani ya Bajaj, RC Chalamila alielekea Kawe Kilipo kituo cha kurusha matangazo CLOUDS.
View attachment 2625319
Tuna danganyika na vitu vidogo sana
 
Morogoro ukianza kazi tu uongozi wa wafugaji Wamasai wanakuja ofisini kujitambulisha wakiwa na Zawadi ya mguu wa Ng'ombe uliochomwa vizuri kimasai na bahasha ya kaki A4 ndani ina mzigo, sasa kazi ni kwako utatetea wakulima au wafugaji?
Duh! Aisee! Kweli moro kutamu! Ila kugumu!
 
Back
Top Bottom