Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,883
- 51,691
uza simu ukuze mtaji mkuu😂😂 tufike bei basiNdo ninayotumia hii
uza simu ukuze mtaji mkuu😂😂 tufike bei basiNdo ninayotumia hii
Nimepata shida nauza mkuuKwanini unauza kiongozi?
Bei Gani mkuuuza simu ukuze mtaji mkuu😂😂 tufike bei basi
Hiyo 15,000/- itakusaidia kutatua shida gani? Acha uhuni.Nimepata shida nauza mkuu
SawaHiyo 15,000/- itakusaidia kutatua shida gani? Acha uhuni.
Ila wasukuma!! Yan miaka yote tangu hii technology yasimu inaingia hadi leo hujui tofauti ya chaji na chaja nyie watuHabari wakuu nauza chaji ya Infinix Type C bei 15000 maelewano yapo ndo mpya inachaji vizuri karibuni wakuu
View attachment 3568914
Nakubaliana nawewe Sisiyemu haifai hata kidogo ni vile wa Tz wengi Bado ni wajinga mnoooDahhh... hiki chama kimetufikisha pabaya sana .....😪
wapoli poli wapo tele humu wa kutoka NAMANYERE sumbawanga ngoja waje
Echolima1
Castle_Lite
Best_Carmine
hamis77
Setfree
Chizi Maarifa
loose Nut
Chivundu
Yote hii sababu ya CCMðŸ˜ðŸ˜.Habari wakuu nauza chaji ya Infinix Type C bei 15000 maelewano yapo ndo mpya inachaji vizuri karibuni wakuu
View attachment 3568914
specifications bossBei Gani mkuu
Ndo Nini hizo mkuuspecifications boss
Pini zina nini Kwani?Wabongo kwa sasa watangazie biashara ya pini ndiyo utapata positive answers.
View attachment 3568961View attachment 3568962
Chaja hiyo wape watoto wachezee.
Ninunulie mkuu