kwa hiyo katiba inatoa majukumu ni tofauti kati ya Makamu wa Bara na wa Visiwani?Mpango ni makamu kutoka bara
Katiba msaafa au biblia?Issue sio style ...katiba inasemaje!?
kwa nini haki mfit mtu kutoka BaraHicho cheo kinawafaa wazinzibar hata uliowataja ni wazinzibar ndio maana wakafit kwenye nafasi hiyo.
Kinachoshindwa kueleweka ni ukweli kuwa makamu wa rais ni rais msaidizi. Anafanya kazi kadri ya maagizo ya rais. Anapotoa maagizo mbele ya umma anafanya hivyo kwa makubaliano kati yake na bosi wake.
Ndio maana Rais kule Dodoma akiongea na viongozi wa dini akasema yeye na hayati JPM ni kitu kimoja. Wote ni washirika wa cheo cha urais.
Mleta mada kakariri maana ya jumla ya makamu wa rais.
Heija,Nadhani siku anamuapisha kasema pamoja na majukumu yake ya kikatiba lakini anamtaka akamsaidie katika ukusanyaji wa mapato na kubana matumizi ya serikali ingekuwa ushauri tu wala asingesema ila kampa majukumu nje majukumu ya kikatiba.
Makongoro yuko smart?Mdogo mdogo ataelewa, hakuwai tegemea cheo Kama Cha Sasa , viongonzi huandaliwa,ila pia ni kipaji that's tumeona alichokifanya mh Makongoro wakati anaapishwa WATU wanashangaa na kuponda kwamba ni maigizo,ila ukweli Makongoro ni kiongozi na hakutakiwa kuwa pale maana anajua nini afanye wakati gani mda gani uliosahii, ukimfuatilia tangu Kipindi Cha kutia nia 2015, Kama ni mapungufu mengine basi ni yale tu ya kibinadam ,but yupo smart sana
JK aliwahi kusema urais ni wangu na sina ushirika na mtu yoyote yule.Kinachoshindwa kueleweka ni ukweli kuwa makamu wa rais ni rais msaidizi. Anafanya kazi kadri ya maagizo ya rais. Anapotoa maagizo mbele ya umma anafanya hivyo kwa makubaliano kati yake na bosi wake.
Ndio maana Rais kule Dodoma akiongea na viongozi wa dini akasema yeye na hayati JPM ni kitu kimoja. Wote ni washirika wa cheo cha urais.
Mleta mada kakariri maana ya jumla ya makamu wa rais.
Duh tungeisoma hiyo sehemu ya Makamu wa Rais tungejua km ni kweli haruhusiwi kusema lolote mpaka RaisAsaidie kumshauri lakini sio kusimama hadharani na kutoa maagizo na maelekezo yanayopaswa kutolewa na Rais tena akiwa hai mwenye afya na yupo nchini. Mkuu unadhani Mamlaka ya Rais na Makamu wa Rais yako sawa? La hasha, Kikatiba VP hayuko kabisa kwenye Chain of Command ya Utendaji wa Kila Siku wa Serikali. Yeye kapewa Majukumu ya Kumsaidia Rais kwenye Mazingira na Muungano. Pia kumshauri President kwenye kutenda. labda kama tunahitaji kuibadili katiba na kumuongeza VP kwenye utendaji basi sawa, tubadili Katiba kwanza.
Watu hawasomi katiba hata kidogo.Issue sio style ...katiba inasemaje!?
Wewe unataabika na nini juu ya hilo? Kuwa wewe unajua kuliko yeye?Kwa Kumbukumbu Kawawa alikuwa Waziri Mkuu. Hata kama alivikwa cheo cha Makamu wa Pili wa Rais bado alikuwa na Authority kama Mkuu wa Shughuli za Utendaji Serikalini. Lakini Makamu wa Rais sidhani kama Chain of Command inampasa afanye
mngetuwekea hiyo Chain of Command au Katiba inayomuwekea VP mipaka kwanza ndipo tuendeleeSasa wewe unaejua vifungu njoo na hivyo vifungu tuone Umahili wako Mkuu. Majukumu ya VP kwenye Muungano yako Mahsusi Kikatiba. Sasa wewe unaetaka kuhalalisha Maajukumu mengine kiutendaji njoo na Hivyo Vifungu
Si ulikuwa wewe?Kwani nani alikuwa makamu wa Mwinyi?
Huyo ndiyo 'template' inayomfaa Mpango, siyo hao jamaa wengine.
Tangu ateuliwe Kama Makamu wa Rais Dr. Mpango amekuwa akitoa kauli za Kiutendaji bila kujali Mipaka ya Majukumu yake.
Mara ya Kwanza alisikika akimuagiza Waziri wa Fedha akusanye Tilioni 2. Bila kujua kwamba Mamlaka hayo ni ya Rais kwenda kwa Waziri wa Fedha kisha Kamishna Mkuu TRA.
Pili, Tena kasikika akiwaagiza Wakuu wa Mikoa Masuala ya Kinidhamu bila kujua kwamba, Mamlaka ya uteuzi na maagizo ya Kinidhamu yako Ofisi ya Rais - Tamisemi.
Huyu Dr anasahau kuwa yeye ni reserve wa Rais endapo litatokea (Mungu aepushe mbali). Na kwamba Mamlaka yake ya Maagizo ya Kiutendaji yako kwenye Mazingira na Muungano.
Afundwe huyu.
Ukiachana na kwamba anapiga mvinyo Jambo ambalo sio dhambi maana iyo ndo burudani yake naomba unipe mapungufu mengine ya Mackongoro ,mtu kua smart sio kwamba alazima asiwe na mapungufu KWA 100%, Binafsi nauona uongonzi mzuri ndani yake tena wa kiwango Cha juu kuliko watu mnavyomchukulia katika Mambo madogo madogo ya kijamii, tunao viongozi wapo tu KWA sababu ya bahati, au kubebwa lakin nakwambia mtu kama hujampa nafasi ya kutenda hutojua uwezo wa mtu, hivyohivyo kwenye jamii tunao watu bora Sana tatizo kupata nafasi kuonyesha uwezo wao ndo shidaMakongoro yuko smart?
Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Ni kweli na hapa katika Katiba ya 1977 inakubali lkn baada ya Muundo wa Vyama vingi naona ilibadilika ndio tunayoitafuta na tunayoizungumzia, je ni kweli Mkamu haendi Visiwani Kikazi?Mpango ni makamu kutoka bara