GE2025 Chahali: Kuna Maofisa Usalama wa Tanzania wamekamatwa Marekani wakipanga kuwadhuru Wanaharakati Watanzania waishio huko

GE2025 Chahali: Kuna Maofisa Usalama wa Tanzania wamekamatwa Marekani wakipanga kuwadhuru Wanaharakati Watanzania waishio huko

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,818
Reaction score
62,027
Akiongea kupitia mtandao wa Youtube, Shushushu wa zamani wa Idara ya usalama wa Taifa, ndugu Evarist Chahali amesema kuwa maofisa wa kitengo wamedakwa huko Marekani wakiwa ktk plan za kuwadhuru Wanaharakati wa Kitanzania waishio huko.

Chahali akasema kuwa walengwa ni watanzania waliokuwa wakimsapoti Tundu Lissu, ambao walikuwa wakifanya fundraising kumsaidia Lissu ktk harakati zake za kugombea uenyekiti CHADEMA. Unaweza kumsikiliza mwenyewe hapa

 
Akiongea kupitia mtandao wa Youtube, Shushushu wa zamani wa Idara ya usalama wa Taifa TZ ndugu Evarist Chahali amesema kuwa maofisa wa kitengo wamedakwa huko Marekani wakiwa ktk plan za kuwadhuru Wanaharakati wa Kitanzania waishio huko.
Chahali akasema kuwa walengwa ni watanzania waliokuwa wakimsapoti Tundu Lissu, ambao walikuwa wakifanya fundraising kumsaidia Lissu ktk harakati zake za kugombea uenyekiti CHADEMA. Unaweza kumsikiliza mwenyewe hapa.


View: https://m.youtube.com/watch?v=-enwKENO-hY

Sheria ifuate mkondo wake
 
Akiongea kupitia mtandao wa Youtube, Shushushu wa zamani wa Idara ya usalama wa Taifa, ndugu Evarist Chahali amesema kuwa maofisa wa kitengo wamedakwa huko Marekani wakiwa ktk plan za kuwadhuru Wanaharakati wa Kitanzania waishio huko.

Chahali akasema kuwa walengwa ni watanzania waliokuwa wakimsapoti Tundu Lissu, ambao walikuwa wakifanya fundraising kumsaidia Lissu ktk harakati zake za kugombea uenyekiti CHADEMA. Unaweza kumsikiliza mwenyewe hapa.


View: https://m.youtube.com/watch?v=-enwKENO-hY

Ushahidi mwingine kwenye kesi itajayofunguliwa ICC
 
Back
Top Bottom