Chagonja na sinema ya mwaka!

Chagonja na sinema ya mwaka!

Loh hii sinema ndefu;
jamani mbona aiih\shi naibuwaziri anadai zile silaha zilizokamatwa tanga ni za vituo vya polisi vilivyoibiwa mwanza

chagonja anasema ni za wale askari wawili wa polisi walioporwa

hii ni serikali moja ama a tofauti

msaada tafadhali
 
Hahahaha jamani nimecheka sana. Hivi Pdidy we raia wa wapi vile?
 
Steps mpo wapii hii ngoma m nauza kwa buku 5 na tunanunua jamanii hizo dvd,,,
 
Mkuu sosoliso

sikia hii

mungu ibarikii tanzania wabariki viongozi wake heshima umoja na amaniii hizi ni ngao zetuu africa na watu wake ibarikiii tanzania unarudia kidogoahapoooooo naa watuwake,,,mpwa mkweo wa kv hukohuko
 
hizi no moja ya film zilizotengenezwa nchin Tanzania kwa lengo LA kujikwamua kiuchumi kwa bahat mbaya zimeshindwa kufanya vizur sokon hii no kutokana na baadhi ya wahusika na production nzima kuwa chin ya kiwango,tunaomba mawazo ya wadau nini kifanyike au wahusika gani waongezwe ili kufanya film kama hzo ziwe heat
 
Tuliambiwa Mapema Na Nyerere Kikwete Hafai,hakufaa Kuwa Hata Mwenyekiti Wa Kijiji Tu.
 
Serikali dhaifu,viongozi dhaifu,watawala dhaifu,jamii dhaifu na wasomi dhaifu matokeo yake ndio hayo.
 
serikali dhaifu,jamii dhaifu,wasomi dhaifu,wakwere dhaifu na familia dhaifu
Unajivamia, unajiteka, unajitorosha, unajisaka na hatimaye unatangaza kujitafuta kwa udi na uvumba. Matukio yote haya haya hayana majina ya waathirika.

Kweli siasa zimefikia mahala pake! Tutashuhudia mengi 2015.
 
serikali dhaifu,viongozi dhaifu,hata mtaani kwetu hakuna kiongozi mzaramo au mkwere kama we unaye angalia uongozi wake
 
Back
Top Bottom